Recent content by El imran

  1. El imran

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

    Wew utakuwa na undugu n lucaas mwashambwa
  2. El imran

    JamiiForums Tanzania Ukiona una miaka 28 halafu benki huna hata vibilioni 30, wewe si mwanaume

    Kama kweli unahela, fanya mapekeche, tuone apo ni jamiiforum platinum member
  3. El imran

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Pambaneni wakuu. Ila bila mpunga kutoboa ni uongo
  4. El imran

    JamiiForums Tanzania Leo tuangalie nchi tajiri kutoka katika kila bara

    Hapa ni orodha ya nchi 20 zilizotajiriwa zaidi katika bara la Asia kutokana na Pato la Taifa la Jumla (GDP) kwa mwaka 2023: 1. China - GDP: $14.72 trillion 2. Japan - GDP: $5.11 trillion 3. India - GDP: $3.18 trillion 4. South Korea - GDP: $1.66 trillion 5. Saudi Arabia - GDP: $833.56 billion...
  5. El imran

    JamiiForums Tanzania Tuzungumzie faida za kujamba

    1. Kusaidia Kutoa Gesi na kinyesi: Kujamba husaidia kutoa gesi na kinyesi ambazo mwili umekusanya, na hivyo kusaidia kuzuia matatizo kama vile uchungu au kuhisi kukojoa mara kwa mara. 2. Kusaidia Kuzuia Vidonda na Matatizo ya Tumbo: Kujamba husaidia kusafisha na kuondoa viumbe hai wanaopungua...
  6. El imran

    JamiiForums Tanzania Faida za kufanya masturbation

    Masturbation ina faida kadhaa kwa afya na ustawi wa mtu binafsi, lakini ni jambo la binafsi na inaweza kuwa na athari chanya na hasi pia. Kwa hivyo ni vyema kutambua faida zake na kuishi katika uwiano. Hapa ni baadhi ya faida 10 muhimu za kufanya masturbation: 1. Inapunguza msongo wa mawazo na...
  7. El imran

    JamiiForums Tanzania Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

    Myahudi si basha wako
  8. El imran

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Wakulungwa mme powa
  9. El imran

    JamiiForums Tanzania Kauli za kipuuzi zinazotolewa na viongozi kukwepa uwajibikaji

    1. Serikali imejitahidi sana 😪😪 2. Ungekuwa wewe ndio kiongozi ungefanya nini?😥😥 3. Sio kazi ya serikali kumletea mwananchi maendeleo binafsi, kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira. 😕😕😕 4. Tanzania ndio nchi pekee yenye kiwango kidogo cha ———, mmeona nchi X, Y, Z?😠😠 5. Deni letu ni...
  10. El imran

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Tuliopo kigoma. Mchakamchaka bado unaendelea nafasi 10 za mwanzo wanapew coupon
  11. El imran

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Bado tupo viwanjani tunasubir maelekezo
Back
Top Bottom