Recent content by El fadiga

  1. E

    Dr. Mwaka amjibu Sheikh wa mkoa wa Dar

    Mbona huwa nawaona wakiwaombea dua viongozi wasio wa madhehebu yao?
  2. E

    Nini kipo nyuma ya ukuaji na ongezeko la watu wasiokuwa na dini?

    Mungu amekuwa wa kwenye makaratasi miaka yote. Hivyo, anazidi kukosa ushawishi kila kukicha. Nje ya AHADI za kwenye makaratasi, hakuna kinachoendele.
  3. E

    What If Life Is A Dream And Death Wakes Us All Up??

    Ni ngumu kuthibitisha kama tuko katika maisha halisia au ndotoni. Mambo tunayoyafanya tukiwa ndotoni tunaweza kuyafanya pia tukiwa katika uhalisia. Mfano, mtu anaweza kucheza kucheza mpira akiwa katika uhalisia lakini pia akafanya kitendo hicho hicho akiwa ndotoni!
  4. E

    Dini ya Ukristo na Uislamu na nyingine za kigeni hazikupaswa kupokelewa Afrika

    Hizi dini zilipoingia hatukupata muda wa kuzihoji, tulizibeba nzima nzima. Kwa sasa tunazihoji tukiwa ndani ya dini hizo kiasi kwamba hatuwezi kufanya mabadiliko tukiwa humo.
  5. E

    Sheria ya kelele: NEMC yatangaza rasmi kiama kwa wachafuzi wa kelele kwenye makazi ya watu

    Sheria hii itakuwa na utata mkubwa sana katika utekelezwaji wake. Sifikirii kama itakuwa rahisi sana kudhibiti miziki isipigwe makanisani wakati eneo hilo limerasimishwa kwa shughuli za ibada. Kwa wakristo leo, mziki umeshakuwa ni sehemu ya ibada na makanisa yako katikati ya jamii. Hivyo...
  6. E

    Mikoa Kumi(10) iliyotoa wasomi wengi zaidi nchini

    Ngoja Watani zangu Wahaya waje waisome hiyo list alafu uone kashfa zao.
  7. E

    Uongo wa miaka juu ya miaka 2000 ya kifo cha Kristo

    Mimi huwa nasikia miaka 2000 iliyopita baada ya Yesu kuzaliwa. Hapa huwa haitajwi namba dhahiri ya miaka kama vile 2019, bali huwa wanatumia tu miaka 2000.
  8. E

    Pope Francis abusu miguu ya viongozi wa Sudan Kusini Salva Kiir na Riek Machar, akiomba wasitishe vita

    Maana yangu ilikuwa ni kwamba "hata watu wa shetani wanapokutana pamoja hasa kwenye hafla zao wanabusuana miguu" na kwa mantiki hiyo, suala la kubusu miguu tu haiwezi kumfanya mtu mtumishi wa Mungu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. E

    Pope Francis abusu miguu ya viongozi wa Sudan Kusini Salva Kiir na Riek Machar, akiomba wasitishe vita

    Kubusu tu miguu ya watu haitoi uwezekano wa kuwa mtumishi wa Mungu. Hata wale wasiokuwa wa huyo Mungu (wasiokuwa na dini ) wanafanya hata mitaani huku tunaowaona. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. E

    Professor PLO Lumumba, a real son of Africa

    Nyerere na Nkrumah kama wangefufuka leo "wangesema mawazo yetu hayafai kutumika katika zama hizi ", na kwa kuwa hawatofufuka kutueleza, tunapaswa pia tujiongeze. Maendeleo tuliyoyafikia kama taifa au ulimwengu kwa ujumla wake, tunapaswa tujikite kufikiria solutions ambazo ni time and environment...
  11. E

    Nani aligundua pesa na lini ilianza kutumika?

    Pesa ni ya zamani kama binadamu alivyo wa zamani Sent using Jamii Forums mobile app
  12. E

    MSAADA JUU YA UANDISHI WA BARUA KWA TRA

    Ndugu wana jf, tra waliwahi kuja kufanya tathmini katika biashara zangu wakaniambia nilipe kiasi fulani kama kodi, lakini makadirio hayo kwa sasa naona sipati kitu kabisa, hivyo ninapenda kuwaandikia barua ya kuwaambia wanipunguzie kodi kwa kuwa biashara imeganda tu. Ninaomba mwenye sample au...
  13. E

    Rais Magufuli amewadhalilisha Maaskofu mbele ya Sherehe za BAKWATA

    Jifunzeni kuchukulia mambo mengine kikawaida sana. Ninadhani mwandishi una sababu zako tu na Magufuli na sio usingizie kauli hiyo. Hata utetezi ulioutoa hapo hauna mashiko hata kwa mimi ambaye sijamaliza darasa la saba.
  14. E

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Biblia inasema katika kitabu cha WARUMI 2:12 kwamba " Waliokosa pasiposheria wataangamia pasipo sheria, na waliokosa wenye sheria watahukumiwa kwa sheria ". Ukiendelea kusoma chini yake utaona inaeleza kuhusi "sheria ya asili waliyokuwa nayo watu mioyoni mwao tangu zamani mpaka sheria andishi za...
  15. E

    Baada ya kuachana na mpenzi wako vile vitu mlivyokuwa mnashare ulivifanyia nini?

    Ni wanawake asilimia ndogo sana unaoweza kuwa nao katika mahusiano alafu mkawa mna-share mambo ya msingi. Wanawake wengi katika mahusiano ukitoa ngoja hawana kingine cha kutoa. Wao wanafikiri kuwa mapenzi ni ngono. Mijadala mnayajadili mkiwa pamoja ni ya ujinga ujinga kama vile movie, fiesta...
Back
Top Bottom