Elimu gani kwani wanajifunza kuendesha magari hao madereva? Hakuna dereva asiyejua sheria za usalama barabarani ni kwa ukaidi wao tu wanazivunja
Hivyo traffic wawapige fine tu
Kumbe nchi hii bado kuna watu wanaota ndoto za mchana? upawa washindwa uchaguzi huu mapema sana, Lowasa ndo nani na upawa wao?
Magufuli bulldozer hana mpinzani hapo
ni ishara ya zamani kidogo from 1990's ilianzia kule America kusini ambapo kwa sasa ndo imefika huku kwetu ila kule wameachana na ishara hii na sasa wameshabuni alama zingine! pamoja na kuwatumia watoto kuwa punda within the area!
Ni wajinga na wapumbavu tu watakaoshabikia Huu mradi wa Makaburu pale Mlimani city, anyway sometimes siwalaumu maana mnachojua ni kuandika hapa tu pasipo uhalisia wa jambo lenyewe.
.............
Zanzibar Spices
Ebu jaribu kusoma tena post ya mdau hapo juu labda utamwelewa maana naona povu jingi hamna hoja.
suala la kupewa eneo kwa bei sawa na bure ni kero kubwa na tunaendeleza unafiki kwa wageni lazima ifike mahali tuangalie maslahi ambayo taasisi zetu na nchi inapata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.