Recent content by Eink67

  1. Eink67

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kutoa hela yangu kwenye Group Buying, nahisi nimeingia mkenge!

    Hapo imekwenda ndugu Kupunguza machungu huwa kama una namba mbili wanajisahau wanakucheck Tena rudisha 10 ten kupunguza machungu
  2. Eink67

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Wastani ni 8,9,10 15 ni mbuzi wa kati mbuzi wa laki anaweza fika mpaka 19 kg ila kiwandani wanachoice zao wanapendelea mbuzi awe na kilo 9- 15
  3. Eink67

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa kamera nzuri itakayonifaa

    Nakushauri tafuta simu hizi mbili Google pixel 7 au iphone kuanzia 11 ila changamoto ya iphone ni kukaa na charge kwaiyo tafuta Google pixel ziko poa sana Kwa upande wa kamera
  4. Eink67

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    😂😂 Au parapanda litalia tutakuwa wa awali kulisikia sio
  5. Eink67

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Huuu Uzi Kwa Sasa wadau hawapo mana wimbi la watu kukosa usingizi nazani limeongezeka kutokana na Hali ya maisha pia lakini pia namba ya watu wenye misongo ya mawazo kuwa wengi watu wangekuwa wanapeana mbinu mbali mbali za kujikwamua katika hili
  6. Eink67

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Bei imebadilika asaivi 10300 per kg kama usafili ni wako kama usafili ni wao jamaaa 10000 per kg inamaana kama unambuzi wapi sehemu ni wengi vya kutosha hutoa gari yao Kuna kuwafata Cha umuhimu ni upate tenda ya kupeleka mzigo ndio inakuwa rahisi kwako maaana tukipeleka mbuzi kichwa kichwa...
  7. Eink67

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Me nimefika mpaka kiwandani kuwaomba kwanza hiyo Tenda ya kupeleka mbuzi wamekubali mwisho wa mwezi huu nitakuwa na mrejesho hapa jamvini
  8. Eink67

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya Mbuzi

    Tuelezee boss me nilifanikiwa kwenda mpaka pale kiwandani na nikakutana na afisa manunuzi wa pale
  9. Eink67

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kufikiria kitu halafu ukakikuta kwenye Mitandao ya kijamii?

    Kuna movie inaitwa the social dilemma inafumbua sana macho kuhusu hizi social media
  10. Eink67

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kuwa navyo ili uruhusiwe kumiliki duka la madawa .

    Maduka ya jumla ya dawa yapo kkoo mfano afq,
  11. Eink67

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kuwa navyo ili uruhusiwe kumiliki duka la madawa .

    1)Kwanza lazima uwe na cheti Cha mtaalamu wa madawa mfamasi 2)Uwe na sehemu iliyokaguliwa(unaenda ofisi za afya za mtaa wa fomu unajaza unapeleka Kwa mfamasia wa halmashauri husika ili uweze kupata kibali Sasa 3)kibali Cha biashara tra Hapo you're good to go
  12. Eink67

    JamiiForums Tanzania Sikio linachimbika : PICHA Msaada mwenye kujua tiba

    Wamasai Wana dawa Moja hivi Ipo kama asali jina limenitoka inasaidia sana
  13. Eink67

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

    Vitu venye uhitaji Comoros Nyama fresh meat Milk Rice Na nazani ni fursa nzuri kwetu watanzania kwenda huko njia rahisi ya kusafirishia ni kupitia mtwara na Kuna meli kule ya mizigo kabisa ilikuwa ishamalizika kutengenezewa sijajua mama safari zimeanza
  14. Eink67

    JamiiForums Tanzania Mafuta au lotion nzuri inayongarisha ngozi na siyo kuchubua

    Oya nicheck mwanangu nikupe ushauri me mtaalamu wa Ngozi
Back
Top Bottom