Hitimisho, hawawi sawa wenye kujua na wasiojua.hivo mwenye elimu ya degree na std7 panagape kubwa la kifikra,kiakili,kimawazo Na mwenendo mzima wa Marsha
aah watoto wachuo takriban villaza wote, kwanini unaikimbia form six ? form six hakuna mchezo na ndio maana tunaamnika sana katika nchi hi, Kwa upande wa chuo bado kuna haja ya marekebisho makubwa.
Heshima Kwa form six wote tz, najivunia kupita form six
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.