Recent content by ego

  1. E

    Ndani ya muda mfupi nimekosa Imani na tume ya mipango

    Achana na fikra za kutazama maamuzi kwa kutizama utendaji wa NIDA yawezekana kuna taasisi nyingine inahitaji kuingizwa au tunahitaji approach mpya. Sasa hivi tulitegemea kumsikia waziri akifafanua sera mpya za mpango ambazo ndiyo approach tutakayotumia kwa wataalamu kukaa kusema hili liwekewe...
  2. E

    Ndani ya muda mfupi nimekosa Imani na tume ya mipango

    Kama mimi ningekuwa nafanyisha usali wewe kwa jibu hili ungekuwa umefeli interview. watanzania wanachokitaka kusikia kutoka watu wa mipango ni kwa namna gani tutatengeza ajira. Kitabu kimeandikwa na mtu mwenye mindset kama ya kwako na hao Sisi hatuwahitaji tunachotaka ni wanaosema it is...
  3. E

    Ndani ya muda mfupi nimekosa Imani na tume ya mipango

    Juzi nilimsikiliza waziri wa mipango akiongea clouds nilishangaa sana waziri wa mipango anaongea habari ya ajira kama ambavyo kila layman anaongea. eti anasema serikali haitoi ajira watu wajiaijri. Mimi siamini kama vijana wanakosa ajira, wanakosa kwa sababu ya kukataa ajira za sekita binafsi...
  4. E

    Kitabu cha unga sera na mitaala ya elimu 2023

    Nashukuru kwa ushauri na sasa nimeweza kuufanyia kazi
  5. E

    Kitabu cha unga sera na mitaala ya elimu 2023

    Kuhusu where? January tutaelezana vizuri wapi
  6. E

    Kitabu cha unga sera na mitaala ya elimu 2023

    Ndugu watanzana sera na mitaala ya elmu ya 2023 ni mibovu inahitaji kubadilishwa kabla ya kuanza kutumika. Mama alisema watanzania semeni ili kujenga taifa lenu sasa ego tumeamua kuongea kupitia kalamu. Mitaala na sera ni mibovu kwa kuwa waandaji (kamati) wa mitaala hawaonekani kuelewa taifa...
  7. E

    Ishara za tukio la Hanang zinaashiria kubomoka kwa bwawa la maji kulikoni

    Kama mtaalamu niliyeshiriki kujenga vyanzo vya maji mbalimbali pamoja na mabwawa ninapata shida kuamini kuwa killchotoea Hanang ni natural land slide Kiwango kikuubwa cha maji kikifuatiwa na tope mda mfupi tena vinatiririka njia ya mto ni kuashiria storage ya maji upsteams kubomoka. Sasa...
  8. E

    Waziri wa Afya atuombe radhi Wakulima na Wafanyabiashara ya matunda

    Kuna mambo huwezi kuyajua mtu ambaye hauko kwenye chain ya biashara hiyo mfano anaweza Kuibuka mtu anatoa tuhuma uta vyombo vya habari uhusu samaki au nyama hasemi msile la ule usema una Tatzo biashara kuanzia hapo hudorora sana. haya n mambo hufanywa na watu mbumbu lakini serikali lazima...
  9. E

    Waziri wa Afya atuombe radhi Wakulima na Wafanyabiashara ya matunda

    Kauli ya Waziri wa Afya kuwaeleza Watanzana kuacha kula matunda mchanganyiko si ya kitaalamu bali imejaa hisia yenye lengo la kuharibu soko la matunda ambalo linashamiri Tanga ni wakulima wazuri sana wa matunda hivyo kama mbunge anayetoa Tanga tulitegemea ahakiki taarifa aliyopewa na wataalamu...
  10. E

    Hivi aliyeshindwa kusimamia bandari zetu aachishwe kazi au alete mwingine

    tena watu ambao tulitegemea wawe ndiyo wenye vission na kutoa miongozo kwa watendaji ndiyo wanasimama majukwaani kusema haya
  11. E

    Hivi aliyeshindwa kusimamia bandari zetu aachishwe kazi au alete mwingine

    ninasikiliza mambo ambayo serikali na chama wanasema juu ya bandari najiuliza mambo mengi lakini kubwa sijui kama hawa watu wanaelewa maana ya kuongoza serikali ni nini yaani umeewa bandari unatuambia bandari inakusanya bilioni 700 na serikali inaata bilioni tatu, sekita binafsi sisi kwa...
  12. E

    Bandari ya Dar tuachane na Dubai tuwape Wachina

    Ukitazama kitu ambacho Dubai wanafanya ni mtego ambao umbumbu wa waafrika tunashindwa kukiona. Hoja siyo kuleta mwekezaji bali umlete nani na kwa maslahi gani yanayotoka wai. Dubai wamekamata bandari zote kwenye ukanda wa mashariki mwa Afrika, kuanzia embe ya Afrika huko Djibout maka kusini...
  13. E

    Watanzania tupinge siasa za kinafiki. Anayesema no DP WORLD aseme sasa

    Kuna watu wanasoma upepo, akiona ugali uko kwenye wanaosema YES wakati mawazo yake ni NO anakaa kimya kama hayupo. Siku akiona upepo umebadilika anabadilika na kuanza kusema NO. Lazima tujenge watanzania katika kusimamia kile wanachokiamini. Ukiamua kusema NO sema no kwa hoja na ukiamua...
  14. E

    Sera zisizotabilika kwenye kilimo zitaua kilimo

    hizo ni fikra za watu wasiojitambua katika jamii yetu, uholela ndiyo mipango katika kila kitu. kama tunataka kuondoa uholela tuanze kutunga kanuni taratibu na kuweka taratibu bila kuvuruga shughuli za kiuchumi. kwa wananchi kuuza mazao nje hata bila utaratibu ni faida kwa wakulima wenyewe na...
  15. E

    Turufu yetu ya mwisho kujitoa mkataba wa DP World ni kuwakata waliohusika kujadili na kusaini kwa tuhuma za rushwa

    Kama mkataba ni mbaya na ni wa milele, Turufu yetu ya kwanza kujitoa ilikuwa kupingwa na bunge ingekuwa wazi kwamba mchakato wa kisheria haukamiliki kwa mtu mmoja kutia saini. Hiyo wabunge wetu wanajigamba kuwa magwiji wa sheria hawakuona. Sasa ni kuunda timu ya kuchunguza ambayo itaibuka na...
Back
Top Bottom