ninasikiliza mambo ambayo serikali na chama wanasema juu ya bandari najiuliza mambo mengi lakini kubwa sijui kama hawa watu wanaelewa maana ya kuongoza serikali ni nini
yaani umeewa bandari unatuambia bandari inakusanya bilioni 700 na serikali inaata bilioni tatu, sekita binafsi sisi kwa taarifa hizo serikali nzima kwenye ngazi ya juu tungewafuta kazi.
ila serikalini wale wenye dhamana ya kusimamia wanatumia hiyo kama hoja ya kutaka kuleta mwendeshaji mwingine.
sidhani kama hii ni shida ya kuwa na mwendeshaji
yaani umeewa bandari unatuambia bandari inakusanya bilioni 700 na serikali inaata bilioni tatu, sekita binafsi sisi kwa taarifa hizo serikali nzima kwenye ngazi ya juu tungewafuta kazi.
ila serikalini wale wenye dhamana ya kusimamia wanatumia hiyo kama hoja ya kutaka kuleta mwendeshaji mwingine.
sidhani kama hii ni shida ya kuwa na mwendeshaji