Hivi mshahara wa PUTS 2-3 ni shilingi ngapi?
anayejua naomba msaada tafadhali. Kuna kazi nataka kuomba lakini sijui namba za mshahara zaidi ya hizo herufi hapo juu.
Hivi kwanini mwafrika anakirihika kuona mwarabu anahamia Ulaya?
Ningeelewa kuona mwafrika anaumia kuona waarabu wanahamia Afrika. Lakini Ulaya inatuhusu nini?
Kadi ya ccm huwa hairudishwi. Ile ni akiba. Hata Slaa hakuwahi kuirudisha na mpaka mwaka 2012 Slaa alikuwa anaendelea kuilipia kadi yake ya CCM wakati akiwa katibu mkuu wa chadema na mgombea urais kwa tiketi ya chadema.
Kambi ya Lowassa wanataka kujifanya wameibuka washindi katika hili:becky:
Kikwete hapa amefanya umafia wa aina yake. Baada ya kugundua kwamba hawezi kuyazuia mafuriko kwa mikono, alichofanya akayatengenezea njia tena kwa kijiti tuu, akayaelekeza baharini.
Jamani... kuna vitu naomba niseme.
1. Kuna msemo wa kizaramo unaosema hivi..."mzigo mzito mpe mnyamwezi abebe".
Wazaramo na wanyamwezi ni watani kiukabila. Jakaya Kikwete ni mzaramo. (Wakwere ni derivative ya wazaramo)
John Pombe Magufuli ni (Mgeita). Katika macho ya mzaramo, mtu wa Geita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.