Recent content by EFUMBUKA

  1. E

    Wanawake mliotolewa bikra na waume zenu njooni hapa

    Haina maana yoyote wala faida kwa maisha ya sasa !
  2. E

    Maneno haya ya mtendaji mkuu wa Barrick kwenye uzinduzi wa kampuni ya Twiga yamenitisha sana

    I conquer with the contract. They say hayawi hayawi yamekuwa congratulations Mr President, God bless Tanzania!
  3. E

    Amuua mkewe akidai kamroga uume wake usifanye kazi

    Msongo WA mawazo siyo kurogwa !
  4. E

    Mama Mzee Asimulia Kisa Cha Kweli "Kizuri"

    Maisha ya mama MKWE na mka means ni uhasama mtupu ni wachache sana wakarimu !
  5. E

    Polisi waua majambazi 4 na kukamata wengine 19

    Najisikia vizuri maana majambazi sasa wanaelekea kushika adabu God bless Tanzania!
  6. E

    Ame hack simu ya mumewe sasa anaomba ushauri

    Fanya mambo ya maana kuliko hilo kwani hakuna faida unayopata isipokuwa aibu tupu !
  7. E

    Papa Francis akiri mapadri na maaskofu kufanya vitendo vya unyanyasaji wa kingono dhidi ya watawa wa Kanisa Katoliki

    KASHFA ZA NGONO KANISANI NI NGUMU KUZIZUIA KWA VILE KANISA LINAPINGANA NA MAUMBILE HALISI YA MWANADAMU MWENYE AFYA NJEMA . Sent using Jamii Forums mobile app
  8. E

    Tuntemeke Sanga: Mbunge aliyekuwa na elimu ya Shahada 7, aliyechachafya miaka ya zamani

    RIP Kiongozi! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. E

    Usalama wa Taifa (TISS) wana maadili, watunza siri na miiko iliyotukuka kuliko maelezo

    Kwa mtazamo wangu kazi ya usalama WA taifa ni tishio kwa raia maana kila mmoja hajulikani na ni hatari sana kama mbinu ya matapeli ati nayo ni usalama wa Taifa !
  10. E

    Kipo wapi Kiwanda cha saruji Shinyanga?

    Mbunge wetu Masele amepata kazi Katika Bunge LA Africa ndiyo maana !
  11. E

    Msichana anayeongoza kupiga selfie kwenye maeneo hatarishi zaidi duniani

    Huyu naye ana lengo LA kucommit suicide tu apate sifa !
Back
Top Bottom