Recent content by Edzone

  1. E

    Mashine za maji

    Mashine za kupandisha maji kwenye Matank na Mashine za kusafisha maji kwa domestic use. Nauza jumla na rejareja
  2. E

    Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

    Wakati mwingine sura za watoto zinazunguka ndani ya familia zenu. Ukute ni wako
  3. E

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Jamaa nimemkubari, umechukua mkewe amekuachia kiroho safi
  4. E

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Mmeona picha za kijakazi mwenyewe!?
  5. E

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Ukisoma comments unaona kuna shida sehemu, mtu anafananisha Maandamano ya Ushoga Ulaya na biashara ya hoteli Zanzibar. Dah
  6. E

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Ile ni biashara, inayohudumia wageni mbalimbali. Kwenye migogoro ya kimataifa hawakupaswa kuonyesha upande wao ni upi. Sasa tofauti na ww kununua tshirt na kuvaa au mwingine yoyote
  7. E

    Kumbe Saudi Arabia inalindwa USA

    ndio hiko hivyo
  8. E

    Tabia ya kuvuna mawingu huenda ndiyo imesababisha mafuriko ya Dubai

    Hakuna, dubai wanashida sana na mitaro ya kupitisha maji.
  9. E

    Mkuu wa Majeshi ya Israel akiri kushindwa na Hamas

    Hao jamaa usiwaanini sana, lazima tujue hatma ya waliotangulia mbele za haki. Sio mnafanya mambo yenu mkimaliza mnazitisha vita
  10. E

    Meli ya Maman BENITA yazama ikiwa na abiria 26, aonekana 1 tu

    Mm naogelea sana tena sana, kuna siku nipigwa wimbi moja kubwa kama nyumba. Kila kitu kikaishiwa nguvu, kwa wimbi ilo kutoka ngumu sana
  11. E

    Huyu imam aweka sawa kuhusu ardhi ya Wayahudi, hivi waarabu wa Bongo mnakwama wapi

    Watu wa dini ukiona anaongea ongea sana ujue hamna kitu
Back
Top Bottom