Recent content by Edzone

  1. E

    Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    Usije kua expectations kubwa sana, utakwama. ANGALIA CIRCLE YAKO
  2. E

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    Cha msingi hapo kupokea wazi Lake, unakuta amekaa na kuwa a hata kushirikisha ndugu zake pia. Nao wameongezea nyama
  3. E

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Panapo majaliwa. Ila apewe Ulinzi
  4. E

    Hivi ni kweli mtu anaweza kuendesha maisha yake kwa kutegemea betting tu?

    Kuhusu betting nakubari kuna mkenya namfahamu ndo kazi yake kuu na anaishi mjini apartment ya kueleweka
  5. E

    Hatimaye ndoto yake imezimwa Ghafla. Hongera sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kazi iliyo tukuka

    Hii issue kama sio mkazi wa eneo la tukio au alijakukuta basi haujui nini kinaendelea. Ndo maana nasema vijana wengi tunaishi kimuemuko, Ila hatuna taarifa.
  6. E

    Hatimaye ndoto yake imezimwa Ghafla. Hongera sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kazi iliyo tukuka

    Safi sana kama amezibitiwa, sasa mtu anakaa Buza atajuaje mambo ya Mbezi beach.
  7. E

    Je Barack Obama anaweza kushtakiwa?

    Wataangukia pua
  8. E

    Ndoto zangu za kuendelea na masomo chuoni ziko hatarini kufutika baada ya kukumbwa na changamoto za kifamilia na kifedha

    Tuungane wadau watatu dogo amalize shule, ada iwe inalipwa kwa control number, matumizi apewe mkononi.
  9. E

    Fanya hivi kulinda TV yako dhidi ya Wezi

    Sema bado tunashida, unakuta mtu anakupinga hata bei ya tofali hajui. Ao
  10. E

    Majibu kwa Barua ya kujiuzulu ya Humphrey Polepole

    Mwenyekiti wa chama, Mh anafanya kazi kubwa sana kwa maslahi mapana ya taifa. Nimeleta uzi hapa kuelezea namba anavyoambana kukuza uchumi wa taifa letu. Vijana inabidi kuamka, ndo msingi wa taifa letu. Tuunge mkono juhudi
  11. E

    GE2025 PICHA: Miradi Mbalimbali iliyokamilishwa na Rais Samia

    Mleta uzi unachosema kinahitaji vijana waliona uwezo wa kuona mbele, serikali ya CCM imeleta maendeleo makubwa kupitia Ilani ya Chama. Mimi nimepitia hiyo miradi na kuona mingi. Nikaona wengi wanapiga kelele hajui
Back
Top Bottom