Hii issue kama sio mkazi wa eneo la tukio au alijakukuta basi haujui nini kinaendelea.
Ndo maana nasema vijana wengi tunaishi kimuemuko, Ila hatuna taarifa.
Mwenyekiti wa chama, Mh anafanya kazi kubwa sana kwa maslahi mapana ya taifa.
Nimeleta uzi hapa kuelezea namba anavyoambana kukuza uchumi wa taifa letu. Vijana inabidi kuamka, ndo msingi wa taifa letu. Tuunge mkono juhudi
Mleta uzi unachosema kinahitaji vijana waliona uwezo wa kuona mbele, serikali ya CCM imeleta maendeleo makubwa kupitia Ilani ya Chama. Mimi nimepitia hiyo miradi na kuona mingi. Nikaona wengi wanapiga kelele hajui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.