NIPO MWANZA- MAGU- NYANGUGE IDARA YA MSINGI NATAKA KWENDA MORO MJINI, PIA UNAWEZA KU-GOOGLE UTAJIONEA! TUWASILIANE KWA EMAIL lkazaura@gmail.com au 0713308372 nawasilisha.
Mpangaji mwenzangu alilipa kodi ya miezi sita, kumbe pale kuna mauzauza kibao yani uchawi. Suspect ni mwenye nyumba madharau, matusi kibao na vijana wake baada ya huyo mpangaji kuyasema bayana wakataka kumrudishia kodi ya miezi 3 iliyobaki kwa kukata pesa za umeme na maji ili aondoke...
Wanajf,
Sikuwahi kufikiria kama Saada Mkuya anaweza akanena kauli thabiti kama alivyofanya wakati akiwasilisha bajeti ya wizara yake, amejibu maswali kwa uhakika bila mbwembwe, kigugumizi na kwa kujiamini.
Kiukweli kwa mara ya kwanza naunga mkono hoja ya mbunge wa CCM.
Kumbe mwenyekaya...
qualifier hata sie hayo tunayajua kwamba lazma yafanyike tsm9 picha zake huscaniwa wanafunzi wanaposajiliwa kwa ajili ya mtihan wa drs la saba na yawezekana, hadi sasa kuna wanafunz majina yao yameuzwa kwa wanafunz wengine na mie ndo mwl wa darasa sasa wewe unachobisha nakushangaa! anayepeleka...
Wadau tafadhari msaada nina mkuu wangu wa shule ana kihelehele sana pamoja na serikali kutotambua mchango mkubwa wa walimu bado mkuu anakufatilia kisa anataka umaarufu kupitia kwako siku moja tu haujafika kazn na ulimpigia simu kwa vile hujasaini popote anaamua kuandika barua ya utoro anapeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.