Recent content by edwin89

  1. edwin89

    Natafuta mota za mashine ya kusaga na kukoboa

    Nicheki ninayo nauza
  2. edwin89

    Mashine ya kusaga inauzwa

    Piga namba hiyo
  3. edwin89

    Mashine ya kusaga inauzwa

    Mashine ya kusaga inauzwa complete na kila kitu chake. 0783402401
  4. edwin89

    DOKEZO Magole Kitunda tuna changamoto ya umeme tunaomba TANESCO tuongezewe Transfoma

    Naomba Meneja wa gongo la Mboto tusaidie kupata transforma kubwa tuna low voltage magole kitunda kwa mpemba mchafu. Tuna mwaka mzima umeme ni mdogo hata friji haziwezi kuwa. Tafadhali, jamii forum naomba mnisaidie kufikisha kilio hiki sehemu husika. Ahsanteni
  5. edwin89

    KERO Eneo la Magole kwa Mpemba mchafu Kumekuwa na changamoto ya umeme mdogo

    Kilio hiki ni Cha wakazi wa magole, kitunda dar es salaam. Kumekuwa na changamoto ya umeme mdogo kwenye eneo la magole kwa mpemba mchafu . Hili tatizo linadumu zaidi ya miaka 2 sasa. Matumizi yameongezeka lakn Tanesco hawajabadili transforma, umeme ni mdogo hata friji na pampu za maji haziwaki...
  6. edwin89

    Internship: Anahitajika msichana mwenye ujuzi wa wa IT

    Hapana kuna kazi pia ya customercare inahitaji mtoto wa kike mwenye muonekano mzuri wa kuongea na wateja lakini pia lazima ajue hizo skills hapo juu tena ajue sana sio kidogo
  7. edwin89

    Internship: Anahitajika msichana mwenye ujuzi wa wa IT

    Anahitajika mdada mwenye ujuzi wa wa IT Kwenye nyanja zifuatazo: 1. Graphics design 2. Microsoft package 3. Networking design and implementing 5. Social media marketing 6. Good customer care Nicheki chap inbox
  8. edwin89

    Makreti ya bia kampuni ya serengeti yanauzwa

    Inategemea sasa kama unachukua zote au. Sina za TBL ni Kampuni ya SBL . Serengeti lite, serengeti lager, plisner. Ndo hizo
  9. edwin89

    Makreti ya bia kampuni ya serengeti yanauzwa

    Hata pungufu, kama unaweza kuja kuchukua 20,10,30, uwezo wako tu
  10. edwin89

    Makreti ya bia kampuni ya serengeti yanauzwa

    Kreti za serengeti zipo 100 zinauzwa na chupa zake. Kwa wanaofungua stoo ya bia za jumla. Elfu 10,000 kwa kreti moja.karibu sana.
  11. edwin89

    Ushauri unahitajika: Niko njia panda, kila maamuzi ninayotaka kufanya naona yana athari

    Kimbia kama upepo. Achana na Deni bank wauze.mpewe kilichobakia. Fata taratibu za kutoa taraka. Hakuna upendo tena hapo utakuja kufa na stress Sent using Jamii Forums mobile app
  12. edwin89

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Wafugaji nina pumba za mchele laini za nguruwe gunia 100 nauza
  13. edwin89

    Internet service provider

    Tutafika mkuu na wewe utakuwa mteja wa Kwanza nitakupigia
Back
Top Bottom