Recent content by Edwin Msuva

  1. Edwin Msuva

    Siku Kenya na Uganda ikifukuza wahamiaji haramu, sijui Tanzania itawaweka wapi

    piere umenena sana ndugu! we want to pocbolize da impocbility. tufate tu utaratibu coz kuna mambo mengi ya kiusalama yanaweza tokea na kuvuruga amani yetu!
  2. Edwin Msuva

    Anayemsifu MWAKYEMBE Atakuwa hamnazo!

    wewe usiyeona makubwa aliyoyafanya ndo hamnazo! nipo tayari kuitwA hamnazo, but mwakyembe is the great! Alfa and omega! ukiona huoni ulichofanya your the blind! get out of your shell!
  3. Edwin Msuva

    Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

    usichukulie kwamba samaki mmoja akioza wote wameoza! u can simply say CCM ni wauza unga! are u mad? mwakyembe, magufuli, filikunjombe, kina kangasheki ni wauza unga? acha uzembe wa kufikiri wewe! basi hata silaa, Lisu, Kambe watakua hivyo kama ni kumtuhumu mtu kilahiso hivyo!
  4. Edwin Msuva

    Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

    Jk yupo sahihi . Tuache ushabiki wa kisiasa penye ukweli tisipotoshe simply tuonekane tupo juu! wht is wrong wth JK? sometimes tuache kuendekeza chuki za kijinga we'r mature!
  5. Edwin Msuva

    Real Madrid Vs Chelsea

    duu tht is great! at least i'm happy coz wanapiga kelele sana mashabiki! pamoja na mchezaji wao the special wamepigwa? hahahahahaaaaaa..............
  6. Edwin Msuva

    Mchumba wa kizungu, nitampataje..!!

    kaka african girls are so beauty, n sweet if u do not blv ask white men thmselves! kwani wa zamani yuko wapi au tamaa za fisi! kaka au umeambiwa kwa mzungu kuna some content zinaongezeka?.......... hahahaaaa.... umebugi meeeen kitu ni kilekile!
  7. Edwin Msuva

    Tundu Lissu, ndani ya Star TV katika Medani za Kisiasa na mstakabali wa Siasa za Upinzani

    hahahahaaaa.............! ni kweli kaka kushinda udiwani kata nne ndo kama wamechukua nchi! Kwani walitaka wachukue wapi kama sio nyumbani kwao Arusha? hiyo ndo ngome yao sasa nini? wakashinde na zanzibar bac!
  8. Edwin Msuva

    TANZIA : Mmiliki wa Masai pub na Meridian afariki dunia

    R.I.P POlen ndugu jamaa na marafiki
  9. Edwin Msuva

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    Kama unamwamini Mungu jua kwamba everything happens for a reason! Mungu ni mwema kila wakati hayo ni mapito tu! na umeamua vizuri najua umevumilia sana na umeomba ushauri ! may be tht was a wrong choice! na Mungu anataka kukuepusha na balaa hilo! God b wth u in whtver your do'
  10. Edwin Msuva

    Huawei Ascend Y200 unlock inauzwa.

    yap welcom! inatumia moderm, flash, memory ina camera etc, skyp, viber, whttsup , Facebook,twitterl na vingine kibao.,, ! njoo tuzungumze! program zote za android zinapatikana!
  11. Edwin Msuva

    Huawei Ascend Y200 unlock inauzwa.

    yap anayetaka nipigine 0755932989 napatikana tabata bima hm au CBE unaweza nipata Dar es salaam biashara maelewano vijana ujasiliamali kwanza!
  12. Edwin Msuva

    Huawei Ascend Y200 unlock inauzwa.

    picha nyingine hiyo ni laki tano kwa anayetaka!
  13. Edwin Msuva

    Huawei Ascend Y200 unlock inauzwa.

    hapo ni ndani ya kava lake na nyingine
Back
Top Bottom