shabani hassani
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 248
- 34
kaza moyo ndio ukubwa huo
Hapo penye nyekundu ndio ulipokosea ndio maana una maumivu sana, otherwise ndoa yako inaweza kuendelea vizuri tuMwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii.
Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave:
Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii.
Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave:
Na kesho akija hapa akawaambi amefuata ushauri wenu ....ameamua kukaa na mume wake sema ndo hivyo ameshamletea ukimwi .........mtamwambieaje.......wengine mtamgeuka hapa mtaanza ohhh we nawe ulikuwa mjinga ushaona mume kicheche bado upo tu? So wakati mnamshauri arudi mjue kuna hatari zake pia...atampa ukimwi na wataacha watoto yatima bila malezi bora....bora ujiondokee madame...na mbinguni utaenda...tena seat yako iko back bencher bale jirani na siti yangu.
Alikuwa kalewa ndio maana. Msamehe bure. Hilo la kuchana nje ahhh. Ajabu hata wewe utachana nje baada ya kuondoka kwake. Na huyo wa pili atakuwa na chain refu kama reli ya kati. Then atakuja na mwingine na mwingine maana huna kizuizi. Nao watakuita malaya maana ni ukweli. jifunze kuvumilia na kuongea na mwenzio.
Try Jesus, your Avatar tells! Pili, kwa kuwa uliolewa kihalali kanisani (kama ulivyoandika), je ulipoulizwa lile swali liulizwalo katika kila misa takatifu ya ndoa "je utampenda na kumjali mume wako kwa shida na raha" ulilijibu NDIYO ama HAPANA? Naomba unijibi ili niweze kukushauri zaidi dada yangu! Otherwise, pole na matatizo!Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii. Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave:
nyumba si kitu,uhai wangu ndio wa maana sana na amani pia,niko radhi kuviacha my dia,hali ni mbaya kuliko mnavodhani,nilishafikiia kujitenga chumba but nikaona watoto wangeniuliza maswali ambao majibu ningekosa,acheni jamani
Try Jesus, your Avatar tells! Pili, kwa kuwa uliolewa kihalali kanisani (kama ulivyoandika), je ulipoulizwa lile swali liulizwalo katika kila misa takatifu ya ndoa "je utampenda na kumjali mume wako kwa shida na raha" ulilijibu NDIYO ama HAPANA? Naomba unijibi ili niweze kukushauri zaidi dada yangu! Otherwise, pole na matatizo!
sahihi kabisa ila wasiwasi wangu anaweza rudi baada ya kujipa likizo ndo anakuta mji tayari una mwingine:help: