Recent content by edwin kanoni

  1. E

    Inaweza kuchukua karibu mwaka mzima kwa magari ya Jeshi kusafirisha hizo korosho

    Alieuza cheni bandia kapewa pesa bandia Hii tunaita mbwa kala mbwa Kwako mwalim kashasha
  2. E

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    Fanya umchek DMO wa wilaya ambapo chuo ulichochaguliwa kipo huwa kuna program kama Mkapa foundation au Nyerere foundation huwa wanasomesha af then kaz utapangiwa ktk wilaya hiyo hiyo
  3. E

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    Jaman mi sielew mtu umechaguliwa diploma ya clinical dentistry mbeya af unatumiwa joining ya clinical dentistry Tanga sasa unafanyaje
  4. E

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Ooooh gar iko mteremkon breki zimekatika af yy anasema kasahau beg stand mwakyembe imekula kwakooo
  5. E

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Mbona ccm wamekubal af wamepepeaa bora ukawa wametoa sabab znazoeleweka
  6. E

    Hivi mama Regina Lowassa ndiye mgombea mwenza wa UKAWA?

    Kweli mfamaj haish kutapatapa mgombea wenu hana mke ndomaana hamumuoniii,,, nakama kinakuuma mama lowasa kupiga kampen kajinyonge
  7. E

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    Hiv inawezekanaje chuo kikawa na usajili af wanafunz wasisajiliwe na wagomewe kuajiriwa
  8. E

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    Wewe acha kupotosha watu mpaka Leo hakuna mwanafunz yoyote wa Kampala aliyeajiriwa and up to now certificate na diploma waliahidiwa kwenda kufanya verification mpaka Leo hakuna aliyefanyiwa hyo process,,, acha kuongea vtu ulivyoviskia kwenye matangazo
Back
Top Bottom