Fanya umchek DMO wa wilaya ambapo chuo ulichochaguliwa kipo huwa kuna program kama Mkapa foundation au Nyerere foundation huwa wanasomesha af then kaz utapangiwa ktk wilaya hiyo hiyo
Wewe acha kupotosha watu mpaka Leo hakuna mwanafunz yoyote wa Kampala aliyeajiriwa and up to now certificate na diploma waliahidiwa kwenda kufanya verification mpaka Leo hakuna aliyefanyiwa hyo process,,, acha kuongea vtu ulivyoviskia kwenye matangazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.