Recent content by Edward Mizambwa

  1. E

    JamiiForums Tanzania RwandAir imepata hasara kwa miaka minne mfululizo

    Hivi ukiwa nchini Rwanda,( ndani ya nchi yenyewe) utapanda ndege wende wapi? Ka nchi ni kadogo sana!!! Je kwa Tanzania! Toka dar to Mnz, Tabr. Kigoma, Mby, Songea, n.k. hou ni ufafiri wa ndani to. Wewe mwenyewe Uko na akili ya siasa na si uhalusia
  2. E

    JamiiForums Tanzania Rais wetu kama umeamua kutumia Kiswahili basi tumia Kiswahili na sio Kiswanglish

    Rsisi wetu Yuki nyumbani bwana mwache ajimwage! Kinachotakiwa ni kujua. Je anachoongea kinatija? That's so.
  3. E

    JamiiForums Tanzania Simba imesonga mbele baada kuifunga Gendarmerie goli 1 kwa bila

    Simba 1 Gendarmerie 0
  4. E

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), tarehe 3/3/2018 kuandamana kumung'oa Mwigulu Nchemba

    liyefyatua risasi ndio pekee wa kuwajiboka kwa maana ya kuchukuliwa hatua za kisheria. Kuwajibishwa kwa hao wengine labda ni kwa mujubu wa sheria za uanaharakati.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli apakwa majivu Kanisa la St.Joseph

    Huu kwa Wakristo ni Mwezi wa Toba. we vipj???
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mahakama yafuta kesi ya Hamisa Mobeto dhidi ya Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz

    Sio kwa milioni tano kwa mwezi
  7. E

    JamiiForums Tanzania Wakili wa kujitegemea, Awadh A. Said Zanzibar atoa ufafanuzi wa kauli ya Prof Kabudi kuhusu mamlaka ya JMT kwa Zanzibar

    Kabudi alikua anawapa darasa waheshimiwa wetu ambao mbali ya nyazifa zao bado hawaujui muungano wetu ukoje
  8. E

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Prof Kabudi, Zanzibar waanza kutaka mamlaka kamili nje ya koti la Tanganyika (Tanzania)

    Mtoa mada nae buree!!!! Hapa hakuna Tanganyika, ipo Tanzania na Zanzibar tu!!!! Uko wapi wewe? Maybe you do not belongs to this country
  9. E

    JamiiForums Tanzania Majaji kwenda Ughaibuni likizoni: Rais ametoa tahadhari, hakukataza!

    Kukaa Uingereza familia nzima, kwenye Hotel kubwa Mwezi mzima jamani si pesa ndogo!!!! Wanasema wanajilipia wenyewe, (kumbe sivyo!!!!) Mali za viongozi si lazima zijulikane? Halafu Rais haja conclud ila amaegiza uchunguzi ufanye Na hajazuia kusafiri ila ametilia shaka uwezo kulipa hiyo gharama.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Zikiwasili ndege zote zilizobaki kuna uwezekano hasara ikaongezeka zaidi

    Unaju maana ya ATCL
  11. E

    JamiiForums Tanzania Zikiwasili ndege zote zilizobaki kuna uwezekano hasara ikaongezeka zaidi

    Ni maswali mazuri ya kujiuliza ILS kwa vile we na mm tuko out of the system hatujui lolote lile tunaongea kwa kudhania na kufikiria tu. Kwa mawazo uliyokuwa nayo basi kitu usafiri wa anga usingekuwapo duniani Ufinyu wa mawazo ndio unaosumbua
  12. E

    JamiiForums Tanzania Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

    Mm nadhani Dereva angekuwa shahidi namba moja, na kwa bahati nzuri sana mlengwa amesalimika awe shahidi wa pili ikifuatia sasa na vielelezo vya CCTV, majrani walinzi wa zamu wa eneo husika. Katika upelelezi huo ndio ungefuatwa
  13. E

    JamiiForums Tanzania Rwanda kuanza kuuza Volkswagen kabla ya mwisho wa 2018

    May be you are right, na kukaa kutwa nzima kwenye mitandao kuiandika serikali badala ya kukaa na kubuni fursa mbalimbali za kuwekeza
  14. E

    JamiiForums Tanzania Serikali iwe makini na Lissu maana hana cha kupoteza

    KUWADI WA NCHI ZA MGARIBI!!! INAWEZEKANA KABISA ILA HAKUNA USHAHIDI
Back
Top Bottom