Recent content by Edward matiko peter

  1. Edward matiko peter

    Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Watanzania lazima tukubali kuwa kulipa ushuru ndio kuiendeleza nchi.NI ulipe kodi ukijua kuna mtu wa kuilinda kodi hiyo kuliko kulipa kodi inakwenda Na wachache mafisadi.hongera Dr.magufuli.
  2. Edward matiko peter

    Prof. Mkumbo: We should not compare Magufuli with Mwl. Nyerere

    Mtu anapoamua kufanya kazi mnaanza siasa zisizokuwa Na msingi.tumekuwepo kwa bahati nzuri tawala zote nne sasa tupo tawala ya tano.kinachohitajika si kumfananisha MTU Na nani,hapana ni je ni nani anae weza kubadilisha maisha ya mwananchi wa kawaida.je NI nani anae weza kulinda Mali ya mwananchi...
  3. Edward matiko peter

    Rais Magufuli ameshindwa vibaya sana (have failed miserably, the country is paralyzed)

    Sisi tunaofahamu mambo ya uchumi mh.magufuli yupo sawa kabisa.baada ya miaka mitatu watanzania watakuwa wakimfurahia.
  4. Edward matiko peter

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Wakati ule puza ulikuwa tishio kwa migomo,fujo baina ya Shule Na shule .nilikuwa Na mwalimu alikuwa anaitwa otieno ulikuwa Mwl.mkuu musoma alliance kama ulikuwa mkorofi shuleni ulikuwa huwezi kuendelea Na masomo kwani ndiye alikuwa mkuu wa body selection.lakini sidhanii kama ndio ulikuwa sababu...
  5. Edward matiko peter

    Maelezo ya mwanafunzi aliepigwa na walimu Mbeya

    Ingelikuwa Ni moja ya mtoto ya hao walimu nini kingefanyika?walimu hao wanapaswa kuchukulia sheria stahiki.Mimi kama Mimi ningependa kujua hao walimu wamekanyaga wapi ambapo wazazi wa huyo mwanafunzi hawawezi kufika?iwe NI fundisho kwa hao walimu Na wengine walio Na tabia kama ya hao.
  6. Edward matiko peter

    Je, CHADEMA wamebariki vitendo vya kumkashifu Rais?

    Chadema si chama,chadema ni sacco,nimesema mara nyingi Na watanzania hamkunielewa sasa chama chochote cha ushirika kinapozidiwa maarifa Na chama kingine cha ushirika lazima propaganda ziwepo kuwa wale ni wezi n.k.kwa hiyo imeonyesha wazi chadema ni sacco ya wachagga.
  7. Edward matiko peter

    Shirikisho Vyuo Vya Elimu ya Juu-CCM wawajia juu upinzani kuhusu maafa ya Kagera

    Mbowe hana utu hata kidogo ni mtu anaependa maneno maneno.baba wa taifa ilipotoka Lancaster' kule London alimtaja baba yake freeman kama mtu asie kuwa Na uzalendo Na hafai kuwa kiongozi Wa nyumba kumi.kwa hiyo mbowe amefanana Na baba yake tabia Na matendo.hafai KUWA kiongozi.ana sofa...
  8. Edward matiko peter

    Kuna viashiria kadhaa vinavyoonesha baadhi ya wapinzani kutopenda taifa lifanikiwe chini ya Magufuli

    Chunguza wanampinga magufuli NI wapiga deal kama mbowe anae chukua hela za ruzuku anabank KULE uingereza Na wengi wapingaji wanatoka kaskazini.
  9. Edward matiko peter

    Lowassa: Kuna dalili za 'udikteta' Serikalini Tanzania

    Ninafurahi kuwa mpinzani wako anafanya kazi.kama ni udikteta anafanya kwa wezi ndani ya chama chake,au unataka aje Na kwenu umueleze Richmond ilikuwaje?
  10. Edward matiko peter

    Hii ndio Iringa halisi na watu wake

    Sijafika iringa.nimetembea Tanzania yote nimeacha mikoa minne iringa ikiwemo,Na kama unayoyasema NI sahihi basi watanzania hawapaswi kuishi diaspora NI heri warudi nyumba ni wafanye mambo nikiwemo Mimi mwenyewe.
  11. Edward matiko peter

    Kikwete hayupo madarakani Tutamsingizia mengi. Huu uzushi mpya ni kumsanifu

    Ukiona MTU anashabikia uovu NI mmoja Wa waliokuwa kwenye deal sasa limezibwa.pole sana ndugu yangu
  12. Edward matiko peter

    Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

    Mimi nafikiri watu mnaocomment labda huwa hamuelewi mnachokiongea.hakuna mwanadamu aliyeita tetemeko,unapofurahia kwa kusema Fulani alaumie huwa kuna upungufu Fulani ndani ya mawazo.watanzania nafikiri tunapendana sana,tuone nini cha kufanya ili kuwasaidia waathirika.period.
  13. Edward matiko peter

    Kikwete hayupo madarakani Tutamsingizia mengi. Huu uzushi mpya ni kumsanifu

    Watanzania mumeanza KUWA kama wakenya wanaongea siasa tangu wamalize uchaguzi mpaka uchaguzi mwingine.nafikiri mwisho Wa siku mtaipeleka nchi kwenye ukabila.
  14. Edward matiko peter

    Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

    Kwanza mambo ya matetemeko si ya kumulaumu MTU ni act of God.
Back
Top Bottom