Recent content by Edson Maiga

  1. E

    Mwanamke wa jamii ya wafugaji auawa na polisi wa wanyama poli Morogoro.

    Nahisi shule ni tatizo kwenu,kuna tofauti kubwa sana Kati ya askari wa wanyama pori na polisi na wala hakuna kikosi kinachoitwa polisi wa wanyama pori,mnawachukia bure polisi
  2. E

    Mwanasheria mmoja Mkenya aishtaki Serikali ya Israeli kwa kifo cha Yesu

    Utakufa kifo kibaya sana ww nyau,unapata wapi ujasiri wa kutamka ovyo namna hiyo? Dhambi yako itakufuata popote utakapoenda,ni heri ungeitubia hiyo dhambi
  3. E

    IGP Mwema kituo cha polisi Ferry upande wa Magogoni kimezidi kwa rushwa

    Kama unaamini uko sahihi kwa nini ukubali kutoa hiyo hela?wananchi pia tunachangia kwa kiasi kikubwa mianya ya rushwa,lkn vipi khs hao mafisadi wanaoitafuna nchi mbona hamuandamani? Lkn kubwa zaidi tukitaka kukomesha mambo haya siku mona wananchi tuandamane kuishinikiza serikali iwaongezee hawa...
  4. E

    Taifa star kama CCM!!

    CCM na Taifa stars ni ndugu wamoja kwa hiyo madudu yote yanayofanywa na mmoja lazima na mwingine nae aige
  5. E

    Kikwete unawakumbatia wa nini? Mwema, Othman, Chagonja, Zoka?

    Umenena vyema sana,Watanzania tuamke,Huu sio wakati wa kuchagua chama eti kwa kuwa tu baba na babu yako ni waumini wa chama fulani,tukubali mabadiliko sasa tuwajaribu na hawa wanaowaita wapinzani tuone watafanya nn,tuwape hata muhula mmoja tu wa miaka 5,
  6. E

    Majambazi wapora Wahindi karibu na CBE Dar

    Yaani mim huwa sioni vibaya mhindi akiibiwa,naunga mkono hoja waendelee tu kuwaibia ila wasiwaue
  7. E

    Msafara wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda wapata ajali mbaya

    KULIKONI? We kweli umemchoka Pinda
  8. E

    Ajitokeza kumfufua NYERERE

    Du!!we ndo umeua bendi kabisa!!!!
  9. E

    Makato mapya ya mpesa

    Ninavyojua Mimi Serikali imefuta gharama zote za kutuma na kupokea pesa kwa mitandao yote
  10. E

    I'm a new member

    Napenda sana hbr zinazorushwa na jamii forum ni za kweli hakika
Back
Top Bottom