Makato mapya ya mpesa

Makato mapya ya mpesa

CHANGER

Member
Joined
Apr 28, 2012
Posts
96
Reaction score
14
Wadau mnaofaham nambe mnijuse ninataka nitume laki2 kijijin vip kuhusu makato mapya ya yaliyopitishwa nitakatwa sh. Ngap kwenye hiyo lak2. Asanten
 
daah!! sijui utajibiwa na nani maana voda wenyenye wako bize kujibu simu za
1."simu ya mteja unayoipigia kwa sasa haipatikani jaribu tena badaye "
2."umefikia kiwango chako cha mwisho tafadhali ongeza salio "
 
Wadau mnaofaham nambe mnijuse ninataka nitume laki2 kijijin vip kuhusu makato mapya ya yaliyopitishwa nitakatwa sh. Ngap kwenye hiyo lak2. Asanten
WAWEZA TU KUNITUMIA MIMI HIYO HELA HALAFU SI UTAONA UMEKATWA SH NGAPI?..lol..
 
Najua makato yamepanda, ila nami sijajua. Nadhani Vodacom watakuwa hawajarelease charges katika Mpesa transfers.
 
Sitegemei gharama iwe imeongezeka kwa sababu bunge lilipinga ongezeko la kodi kwa utumiaji wa mpesa, tigo n.k lililopendekezwa mwanzo na waziri wa fedha.

navofaham ongezeko lililopitishwa na bunge ni lile la kwenye 'airtime'
 
Wadau mnaofaham nambe mnijuse ninataka nitume laki2 kijijin vip kuhusu makato mapya ya yaliyopitishwa nitakatwa sh. Ngap kwenye hiyo lak2. Asanten

naona viwango ni vile vile dizaini bajeti walikurupuka ndio maana hakuna mabadiliko..
 
Ninavyojua Mimi Serikali imefuta gharama zote za kutuma na kupokea pesa kwa mitandao yote
 
hakuna gharama mpya... hivyo vikodi viliondolewa....pia kwenye petrol ziliondolewa...hamna uwezo wa kulipa kodi na kujenga nchi yetu nyie...ni sisi wanywaji wa larger ndo wazalendo na nchi yetu,hatuhitaji kupunguziwa kodi kama wanafunzi kwenye daladala.
 
Nimetuma pesa muda si mrefu sijaona mabadiliko yeyote kwenye gharama za utumaji.
 
Gharama zitaongezseka na wale mawakala watakatwa 10% ya commissions zao!....
 
Back
Top Bottom