ChamalaDola , uzalendo haupimwi kwa staili hiyo, angalia wapi tulipotoka. Ndio hvyo hvyo kushangilia bajeti bila kujua madhara yake baadae. Nashauri meza ziwekwe msumari ili urahisi wa kupiga na kushangilia upungue
Naangalia michuano ya sport pesa, duh! Camera zao sijui zikoje watu wote wanaonekana virikuu! Pia kurudia tukio sijui wanarewind kama kanda za zamani.! Nunueni mitambo ya kisasa kama Azam tv.
Umechambua vyema mkuu, tena kuna sehemu ni vichekesho tosha mf. kwenye insects. Duh! Kama ni China hawa waandshi ni kunyongwa hadharani!
Lakini na ww umekosea baadhi ya sehemu, mf. Unapouulza "hii itakuwa ni sentence kweli?" Jibu ni ndio kwani kuna aina nyingi tu za sentence. Kingne ni neno...
" I was not informed by Juma" hii ni Passive voice ( hali ya kutendewa) . Sheria zake ni kwamba verb lazima iwe kwenye past particple form ambapo regular verb huongezwa 'ed' mwishoni, lakini kwa irregular huwa na muundo tofauti tofauti kulingana na verb yenyewe!
Pia, "was" ni auxiliary verb...
Unaijua fesibuku ww? Kuwa mpole sisi ni dampo tu, hatuwez kutofautisha uzur wa mtandao mmoja wa jamii na mwingne! Tumeletewa vyote!!! Huna haki ya kuhoji uzuri wala ubaya wa hv vtu!!
Unaijua fesibuku ww? Kuwa mpole sisi ni dump tu wote hatuwez kutofautisha uzur wa mtandao mmoja wa jamii na mwingne! Tumeletewa vyote!!! Huna haki ya kuhoji uzuri wala ubaya wa hv vtu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.