Mara ya kwanza kuna rafiki yangu aliibiwa sh.50000 kwa kuambiwa atume kwa mpesa kwa mfumo kama huu wa kwenye hizi shots, sasa hivi naona tena wamekuja hadi kwangu eti nichangie hela kama ionekanavyo[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] hizi ni application za kupitia...
Kupata first class ifm ni kama upo kwenye mazoezi ya kujiunga na CIA maana huwezi fananisha msako wa IFM kwenye GPA na msako wa CBE kwenge GPA, HUWEZI MAKE COMPARISON IN SUCH MANNER maana hata perfomance ya utendaji ni moja ya nguzo na vigezo vinavyowabeba IFM na UDSM
We jiulize kwanini katika mabara yote sita Africa pekee ndo kuna watu wana ngozi nyeusi [emoji67][emoji67] though i love being black ila kuna katatizo huku kwenye hii rangi
Hilo ndo muhimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana watanzania na sisi wavivu hata hao viettel wamesaidia sana ajira 2000 si mchezo makampuni mengi sana anajiamulia nini yafanye maana hii nchi wameiona ya mabwege bwege
Kuna siri nzito behind TTCL wale wenzangu na mimi tunaompenda LUWASSA mzee kaiangamiza TTCL ili vodacom anayoimiliki kihisa kwa TZ iwe juu, anayekumbuka kipindi mwandosya waziri wa mawasiliano kulikuwa na simu za TTCL zimeingizwa nchini ( pale kuna siri nzito kwa nini mradi ulikufa ) kwa usalama...
Unajua TRA ina charge kodi kubwa kutokana na watanzania wengi kutolipa kodi yaani nikimaanisha idadi ya walipa kodi ni ndogo kuliko idadi ya watanzania wanao paswa kulipa kodi, sheria na kodi ni kwamba kiwango kinavyoongezeka cha ukusanywaji wa kodi na kiwango kinapungua kwa walipa kodi endapo...
Misingi ya nchi yetu imebomolewa na uongozi dhaifu uliopita maana kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita ni watu walikuwa wanajikatia minofu katika nyama ya nchi hii iliyonona na kuitafuna peke yao wakihisi na kujisahau kama ipo siku kuna kifo na kuyaacha haya yote duniani, sheria za kodi na...
Mambo mengine ni kuyaweka kiuhalisia, mfano umemuajili mfanyakazi ndani ya nyumba yako na akakuibia utamuacha kwasababu unafata haki za binadamu au utaacha kuwaambia watu ameiba kwa kuwa unafata haki za binadamu???. Binafsi sijaona udikteta na hata kama ni udikteta ni bora kuliko democracy...
Mi najiuliza sana na huwa siachi kujiuliza kwanini wafanyabiashara au raia hawapendi kulipa kodi?? Je wanadhani huduma nzuri, maendeleo mazuri tunayoyatafuta yatapatikana kwa raisi kutoa hela zake mfukoni au kwa kutegemea wahisani wenye lengo la kuingiza ukoloni mambo leo kwa njia ya misaada na...
Tatizo takukuru nao ni wala Rushwa na viongozi wanazembea mpaka rais anatoka ikulu kwenda kumfuta mtu ajira ni upunguani wa wale waliopewa madaraka na raisi kuongoza wengine lakini bado wapo dhaifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.