Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,513
113,638
Wanabodi,

Baada ya kumsikia rais wetu, Mhe Dr. John Pombe Magufuli, akiangalia Clouds TV, wengi walimpongeza, na baadhi yetu tulifarijika sana, na tukampongeza,
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply "A Man of The People!".

ila hatukuishia kumpongeza tuu, bali pia sisi wengine wetu, kuna maswali tulijiuliza, Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza...na haukupita muda, tuliyapata matokeo ya maswali hayo.

Kwa vile JamiiForums ni chombo huru cha habari, hivyo tuna haki ya kujiuliza, "Hivi rais wetu, Mhe. Dr. John Pombe Magufuli, huwa anasoma mtandao wa JF?!.

Kama anasoma, ujumbe huu utamfikia, lakini kama huwa hausomi, naamini kupitia uzi huu, naomba kutuma ujumbe mahsusi kwa rais wetu, Mhe. Dr. John Pombe Magufuli asome JF na kumsikiliza binti huyu!.

Kuna watu wanadhani kwa vile rais wa nchi ni mtu mkubwa kuliko watu wengine wote kimamlaka ya kiutawala, then wanadhani rais ni not reachable kabisa, na namna ya kuwasiliana na rais hadi akusikie ni mlolongo mrefu, lakini mimi naamini rais wa nchi ni mtumishi wetu, sisi ndio waajiri wake kwa kura zetu, na ni sisi ndio tunaomlipa mshahara wake kwa kodi zetu, hivyo tunamamlaka ya kumtuma jambo lolote ili mradi hatuvunji sheria, na kutumia njia yoyote kumfikishia ujumbe, ikiwemo hii njia ya JF!.

Hivyo kwa heshima na taadhima, Mhe. Rais wetu, Dr. John Pombe Magufuli, Please Msikilize Binti Huyu, Ana Hoja ya Msingi!.



Mimi nimemsikiliza na nikaona ana hoja ya msingi, jee wewe ulipomsikiliza, jee umemuona ana hoja ya msingi?!.

Nimemuomba Rais Magufuli amsikilize binti huyu kwa vile mimi naamini binti huyu sii binti wa kawaida!, ana kitu ndani yake!.

Kwa wale ambao mtapenda kumfahamu huyu binti mtoa hoja, mnaweza kutembelea nyuzi hii.

Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina ?!..

Naomba Kuwasilisha.

Paskali

Paskali ameishaandika mengi mazuri kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Magufuli, lakini kwa vile Paskali hayupo katika list ya wale waimba nyimbo za sifa tuu na mapambio, bali pale anapoona kama mambo yanakwenda ndivyo sivyo, huwa anasema, anapongeza pa kustahili pongezi, na kukosoa pa kustahili kukosolewa ila ukosoaji wake siku zote ni constructive criticism!.

Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM 2015, Ni Dr. John Pombe Magufuli!.

Magufuli Kama Nyerere:Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, ni vitendo

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?!.

Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5

Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli...

ENL, CHADEMA na UKAWA, Tuyakubali Matokeo!, Tushukuru....


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa ku...

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...


Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!.

 
Mi najiuliza sana na huwa siachi kujiuliza kwanini wafanyabiashara au raia hawapendi kulipa kodi?? Je wanadhani huduma nzuri, maendeleo mazuri tunayoyatafuta yatapatikana kwa raisi kutoa hela zake mfukoni au kwa kutegemea wahisani wenye lengo la kuingiza ukoloni mambo leo kwa njia ya misaada na mambo mengine?? Wakati mwingine tusiishi kwa siasa maisha ya sisi watanzania na maendeleo yetu tutayajenga wenyewe na ni vyema kwa watu wote kukubali kulipa kodi hata kama itakuwa kwenye kiberiti ili tuweze kupiga hatua
 
Huyo binti ni mbunge anayo fursa ya kupeleka hoja bungeni kubadili sheria ili rais awe anakatwa kodi kwenye mshahara wake....asipige kelele tu kama mimi kanyaboya atumie fursa.
 
Binafsi naona maneno ya kawaida tu anazungumza huyu mama angeanzia kwenye kurekebisha katiba kwanza pengine ningemuelewa.
Katiba haina tatizo, katiba insema "mshahara wa raisi hauzumguzwi" kinachojadiliwa hapa ni sheria ya kodi na ktk katiba haijasema "raisi asilipe kodi" na sheria hii ilijadiliwa bungeni na kupitishwa kwamba asilipe kodi, hivo serikali irudishe hiyo sheria ili ifanyiwe marekibisho ktk kifungu cha kilichompa raisi msamaha wa kodi soma income tax act 2004 na marekibisho yake 2010
 
Wanabodi,

Baada ya kumsikia rais wetu, Mhe Dr. John Pombe Magufuli, akiangalia Clouds TV, wengi walimpongeza, na baadhi yetu tulifarijika sana, na tukampongeza,
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply "A Man of The People!".

ila hatukuishia kumpongeza tuu, bali pia sisi wengine wetu, kuna maswali tulijiuliza, Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza...na haukupita muda, tuliyapata matokeo ya maswali hayo.

Kwa vile JamiiForums ni chombo huru cha habari, hivyo tuna haki ya kujiuliza, "Hivi rais wetu, Mhe. Dr. John Pombe Magufuli, huwa anasoma mtandao wa JF?!.

Kama anasoma, ujumbe huu utamfikia, lakini kama huwa hausomi, naamini kupitia uzi huu, naomba kutuma ujumbe mahsusi kwa rais wetu, Mhe. Dr. John Pombe Magufuli asome JF na kumsikiliza binti huyu!.

Kuna watu wanadhani kwa vile rais wa nchi ni mtu mkubwa kuliko watu wengine wote kimamlaka ya kiutawala, then wanadhani rais ni not reachable kabisa, na namna ya kuwasiliana na rais hadi akusikie ni mlolongo mrefu, lakini mimi naamini rais wa nchi ni mtumishi wetu, sisi ndio waajiri wake kwa kura zetu, na ni sisi ndio tunaomlipa mshahara wake kwa kodi zetu, hivyo tunamamlaka ya kumtuma jambo lolote ili mradi hatuvunji sheria, na kutumia njia yoyote kumfikishia ujumbe, ikiwemo hii njia ya JF!.

Hivyo kwa heshima na taadhima, Mhe. Rais wetu, Dr. John Pombe Magufuli, Please Msikilize Binti Huyu, Ana Hoja ya Msingi!.



Mimi nimemsikiliza na nikaona ana hoja ya msingi, jee wewe ulipomsikiliza, jee umemuona ana hoja ya msingi?!.

Nimemuomba Rais Magufuli amsikilize binti huyu kwa vile mimi naamini binti huyu sii binti wa kawaida!, ana kitu ndani yake!.

Kwa wale ambao mtapenda kumfahamu huyu binti mtoa hoja, mnaweza kutembelea nyuzi hii.

Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina ?!..

Naomba Kuwasilisha.

Pasco

Pasco wa JF ameishaandika mengi mazuri kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Magufuli, lakini kwa vile Pasco hayupo katika list ya wale waimba nyimbo za sifa tuu na mapambio, bali pale anapoona kama mambo yanakwenda ndivyo sivyo, huwa anasema, anapongeza pa kustahili pongezi, na kukosoa pa kustahili kukosolewa ila ukosoaji wake siku zote ni constructive criticism!.

Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM 2015, Ni Dr. John Pombe Magufuli!.

Magufuli Kama Nyerere:Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, ni vitendo

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?!.

Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5

Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli...

ENL, CHADEMA na UKAWA, Tuyakubali Matokeo!, Tushukuru....


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa ku...

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...


Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!.

Pasco unanipa mashaka, mbona watu mashujaa humu JF tunaowafahamu mnabadilika? Au ndio ukuu wa wilaya!
 
Huyo binti ni mbunge anayo fursa ya kupeleka hoja bungeni kubadili sheria ili rais awe anakatwa kodi kwenye mshahara wake....asipige kelele tu kama mimi kanyaboya atumie fursa.
Kwani si ameshayasema hayo bungeni? "Asipige kelele tu" maana yake nini? Zitto Kabwe na Tundu Lissu walishayazungumzia haya na wewe bado utayaita makelele.

Wabubge waendelee kupiga kelele mpaka kitakapoeleweka, siku moja!
 
Kwani si ameshayasema hayo bungeni? "Asipige kelele tu" maana yake nini? Zitto Kabwe na Tundu Lissu walishayazungumzia haya na wewe bado utayaita makelele.

Wabubge waendelee kupiga kelele mpaka kitakapoeleweka, siku moja!
Sasa maana ya kuwa na wabunge iko wapi kama wanayo fursa ya kupeleka hoja bungeni na hawataki kuitumia? Brother dont u get my point?
 
Back
Top Bottom