Recent content by ednjou

  1. E

    Raia wa nchi 11 kutoka Afrika mbioni kuruhusiwa kuingia nchi wanachama wa EU kuanzia Julai baada ya nchi hizo kufungua mipaka

    Issue sio maambukizi hapo ni kuwa hatujafuata taratibu za WHO za kujikinga na usalama wa afya sisi hatuna maambukizi ya kutosha lakini hatuaminiki
  2. E

    Rwanda yaomba kuchukua anga la Tanzania

    Mnhhh... Kama vile wanaomba kupitia IATA... Huenda ndio ikawa anauziwa mtu...
  3. E

    Fujo za Mashabiki: UEFA yazifungia Lyon na Besiktas kushiriki michuano ya Ulaya kwa miaka miwili

    Umesahau na Serengeti boys wamekwenda Gabon kwa points za mezani... Serengeti boys ni timu ya hovyo kabisa
  4. E

    Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara akamatwa na kushikiliwa na Polisi kituo cha Polisi Chang'ombe

    Wabunge wa CCM wao wanakamatwa na meno ya tembo tu... Sio kwa kuwatetea wananchi
  5. E

    Wafanyabiashara waliokopa Benki ya Twiga mali zao zaanza kukamatwa

    Ninacho farijika nacho ni kuwa CCM imetawala nchi hii kwa zaidi ya miaka 50 sasa.... Na haya yote yanatokea kwenye mamlaka ya CCM, lakini cha ajabu wafuasi wa CCM kutokana na kuwa na ufahamu finyu wanahisi hizo tabu njaa na umasikini vinasababishwa na vyama vya upinzani na kuanza kutoka povu...
  6. E

    SINGAPORE: Raia wa Nigeria anyongwa kwa kukutwa na kilo 2.5 za Bangi

    Its too tough for marijuana... Now days the world think to regarise marijuana but you guys you still beheading human being for the natural plants
  7. E

    Tuhuma za Rushwa: Jeshi la Polisi kumchunguza Kamanda Sirro na Kaganda

    Kwanza waanze na tuhuma za 10 million za wabunge kisha waje na kwa kamanda Sirro kisha waje na majibu... Kama kamanda Sirro ni kweli atumbuliwe na kama Makonda ni muongo afunguliwe mashtaka na kupigwa chini na Mh Raisi
  8. E

    Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

    Hiyo ndo shida ya wakwe kwenda kukaa kwa watoto.... acha kaka ajifaidie maana kama angekaa kijijini angekua na busara ndio faida ya kutaka vya mjini
  9. E

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr slaa
  10. E

    Yaliyojiri Mahakama Kuu: Usikilizwaji wa UAMUZI wa pingamizi la Zitto dhidi ya CC ya CHADEMA

    God Bless CHADEMA.... Mh Zitto Kabwe we nenda tu ccm wamekuwekea nafasi yako.... Huko ndo uliko takiwa uwepo toka mwanzo na sio ktk chama cha ukombozi CHADEMA
  11. E

    CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    Hongera CHADEMA daima mapambano ndio yapo namna hiyo inapobidi kumtoa msaliti hata Kama ni maliaka lazima atoke.... Kwani hata Mungu alimtoa shetani ktk kundi la malaika baada ya kumsaliti... Daima mapambano
  12. E

    Edwin Mtei: Tulimuandaa Said Arfi uenyekiti CHADEMA lakini ameamua kuondoka mwenyewe

    Ni kweli viongozi duniani kote wanaandaliwa... Lakini sio Kama kina zito na wenzake... Mtei yupo sawa kabisa
  13. E

    Mchumba wa mpenzi wangu anataka kunilipa ili waendelee na taratibu za ndoa.

    Poke hiyo mshiko kisha potea zako hata kama ukikataa wao wataoana tu taka usitake au Kama vipi ingieni mkataba wa wakenya....
Back
Top Bottom