Wadau msaada katika hili, binti ana miaka mitatu toka amezaliwa, tatizo la vidonda kichwan kila nywele zinapoota kichwan. Nimehangaika na dawa na ushauri tofauti tofauti lakini mafanikio yamekuwa haba kwani tatizo huondoka nywele zinapoondolewa mara zinapoota vidonda hujirudia, naomben ushauri...
habarini wapenzi wana jukwaa.
Mimi Nina ex wangu ambae pia ni mzazi mwenzangu kwa binti yetu .wakati bdo tupo pamoja nilimnunulua cm na nikanunua na kadi yake,kwakuepusha usumbufu nikaamua kuisajili kwa kitambulisho changu.baada ya mda kama was mwaka na nusu hivi tulitofautiana na kila mtu...
uache kumsaidia ata kdogo maana hvo v campan unavo mpa ndo vinampa ujasîri wa kuomba hela zaid! Halaf nakudis knyama kumsamehe malaya et amezidiwa... Ushamba huo wapo wa kutosha hao viumbe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.