Napasua Jipu.....pwaaaaaaaaaaaa

Napasua Jipu.....pwaaaaaaaaaaaa

Ila jamani all in all tuwe na tabia ya kuwapa kipaumbele wapenzi wetu wa kike kwanza kipindi cha game. Mi mwenzenu hata akifikia orgasm mara 3 huku mimi hata kuejaculate mara 1 bado, akiniambia ''nimechoka'' namwacha ila baada ya kumbembeleza kwanza anitendee haki nami.
 
tinna cute,

ushawahi kutana na mwanaume ambae haguni ila anatoa vimachozi kwa mbali.....lol..

sijawahi mi bahati yangu mabubu hawalii hata miguno no!!!!!!!!!! siku hiyo ntacheka sana
 
face.jpg


haya makitu ni hatari sana hasa yakiwa yanatokea chumba cha jirani!!...lol

dah mkuu unapenda chabo.....!!!!!
 
Uongo mbaya wadau wangu,

yawezekana hizi zikawa ni hisia zangu tu,

lakini nimeona bora niseme...lol...


''Jamani najisikiaga raha sana, unapokuwa na mupenzi faragha (mtoto wa kike)

halafu akawa anakudatisha kwa vijisauti vya kujiliza wakati mna du....lol...,

yaani hata kama ni vya uongo, basi wewe nidanganye danganye tu......

Vinginevyo, vya kibubu bubu siviwezi mie...sichelewi kutupa kuleeeeee

mtanisamehe bure''

wahanga wenzangu, najua mpo,

kwa akina dada sijui hisia zao, labda nao wanaweza funguka........

Jioni njema, Mbarikiwe sana!!!!!!


utaibiwa sana tu
 
Mayowe?
Miguno inabidi iwe lain hatakama ya uongo ifanane na tukio, sio inaingizwa mtu , mamaa naumia subiria aiweyi, ariii
Ntakukacha koz unabore

wengine badala ya miguno, wanaangusha vilio! lol!
 
Back
Top Bottom