Jamii naomba tusaidiane kuelimisha juu ya utapeli unaofanyika hasa kwa mtandao wa facebook kwa kutumia jina la UNICEF.
Utapeli huu sasa umekithiri na watu wengi sana wanaendelea kuumia juu ya utapeli unaofanyika na kikundi kinachotumia jina la UNICEF na kudai kuwa wanatoa msaada wa fedha mara...
Serikali lazima ijipambanue juu ya kuwawajibisha watumishi wanaoenda kinyume na matakwa na watumishi kama hawa walimu wanaoanzisha mahusiano na wanafunzi wao wawajibishwe na kukemewa vikali sana pia maonyo makali yatolewe kwa watumishi wanaovunja taratibu za serikali.
Kwa sasa watanzania tunatakiwa kupima sana kauli za wagombea wetu, tusiwape dhamana wagombea watakao onesha kutoa ahadi ambazo uhalisia wa utekelezaji wake ni mgumu sana gombea wa namna hii maranyingi wanakuja na sera kwaajili tu ya kuwateka wananchi ili wapate kura na wengi wao hutumia sana...
Ahadi ya kusambaza umeme kila kijiji jimboni ila ilishindwa kutekelezeka ikiwa mbunge wetu alipewa dhamana ya kuwa waziri wa nishati na madini kwa muda wa miaka isiyopungua 4 hii inawaumiza sana wananchi na hawamuamini tena huyu jamaa kama ni kiongozi bora
Hatua hii ni nzuri sana katika kunusuru wimbi la omba omba hasa maeneo ya mjini, nadhani ikifanyiwa utekelezaji katika nchi yetu Tanzania itasaidia kuibua na kuwakamata baadhi ya wazazi wanao kiuka sheria ya ulinzi wa mtoto, pia wanaowanyanyasa watoto kwa kukwepa majukumu yao kama wazazi.
Japo sina experience ila kwa uelewa nafahamu kufanya mapenzi wakati wa ujauzito inasaidia kupanua sehemu ya uke wa mwanamke hii inaweka urahisi zaidi wakati wa kujifungua pia inaepusha kujifungua kwa njia ya upasuaji kwa mwanamke mwenye uzazi wa kwanza.
Jambo la kwanza ni kumuamini Mungu na kujiamini kuwa utashinda katika kila hatua kupitia yeye, pambana kuhakikisha unashinda yale yote magumu yaliyo mbele yako kwa sababu dawa ya tatizo ni kukabiliana nalo.
Cha msingi unapofika ugenini hakikisha unakuwa na budget ya ziada ili kuweza kumudu baadhi ya mahitaji yako kama issue ya msosi, sisi wasukuma tumezoea kula hadi kusaza sasa ugenini itanipa shida sana jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.