Recent content by Eddy M

  1. Eddy M

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mwl, naomba bei ya hii kitu mpaka Dar.
  2. Eddy M

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Nashukru sana Mwl kwani mzigo wangu wangu umefika salama.Mwanzoni nilikuwa na wasiwasi kama kweli ingewezekana hasa ukizingatia kufanya biashara na mtu usiyemjua.Ongera sana kwa huduma na uaminifu na bila shaka tutafanya biashara zaidi.
  3. Eddy M

    Msaada "blocked amount" kwenye akaunti yangu CRDB

    Nahisi equity bank wako vizuri zaidi.Tangu nianze kuwatumia sijawahi pata tatizo lolote
  4. Eddy M

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Mkuu,uelekeo Wa Nilesat 7w kwa dishi la futi 6 kuna uwezekano wa kuongeza sat nyingine? ni zipi?
  5. Eddy M

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Mimi nimefanikiwa kuipata Amos 5 na Eutelsat 7e.Sasa kazi ni kuipata Astra 2f.Nimeangaika vya kutosha.Niko mbeya na ninatumia dish futi 6 pamoja na Ku ya kawaid.Ebu wakuu nipe mbinu
  6. Eddy M

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Nimefunga continental na receiver yake aina ya CDM03.Natamani sana kuongeza sat ya Astra hapo hapo kwa continental,vipi wadau wa fta chaneli zitaingia kwenye hii receiver?
  7. Eddy M

    Bei ya Huawei y550

    Hizo simu nimezikuta sehemu fulani Mbeya zinauzwa 220000
  8. Eddy M

    Airtel nao wale wale, hakuna afadhali

    Hilo tatizo nimekutana nalo baada ya kuanza kutumia laini yao.Nahisi kuna tatizo katika laini zao.kuna kiprogram kinahitwa GPSD kinafyonza betri ni balaa
  9. Eddy M

    Naweza kufungua account ya Paypal bila kuwa na account ya benk?

    Mkuu, Itanilazimu kutumia hizo proxy kila ninapotumia hiyo account au siitaji tena kutumia proxy?
  10. Eddy M

    Niawezaje ku-download movie kwenye torrent ?

    Uttorent kwenye simu za android haidownload files zenye ukubwa wa 4GB.Nimejaribu mara nyingi lakini wapi.Ikifika asilimia 98 inasema file not found.Mwenye ufahamu tufahamishane.
  11. Eddy M

    Zijue Movie Mpya Kali 2013 na 2014

    Mkuu,kuna movie moja ina ikubwa wa 4.4GB.ikikamilika mara bittorrent inaniambia "File not found restart your torrent to resume downloads".Nimejaribu mara nyingi lakini tatizo liko palepale...
Back
Top Bottom