Recent content by eddy brown

  1. eddy brown

    Wanaotoka sare kizembe na timu mbovu kama Biashara United Hawawezi michuano ya Kimataifa , Subirini Aibu

    Hivi ni timu gani katika ligi yetu ilofungwa goli chache zaiidi ya Yanga?
  2. eddy brown

    Nini kilisababisha ajali ya Maunda Zoro?

    Hivi upelelezi wa ile ajali hadi sasa wametoa neno ya kuwa ili sababishwa na nini? Maana labda kuna kitu tunaweza kujitunza ili tuwe makini tunapo kuwa barabarani.
  3. eddy brown

    Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

    Kwani Simba hajawahi pigwa 5?
  4. eddy brown

    Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

    Hakuna gari duniani ya zero km,lazima ijaribiwe Kwanza kabla ya kuuzwa
  5. eddy brown

    Maswali ya kijinga na Majibu ya kipumbavu...

    Nilikutana na doria usiku wa manane wakaniambia eti kwa nini natembea hadi usiku huu,nikamjibu kwani nilitakiwa nitambae?
  6. eddy brown

    Wanaume: Hivi unawezaje kuvaa viatu bila soksi?

    We hujawahi kuliwa tundq bila condom?
  7. eddy brown

    Yanga ikae mguu sawa, GSM kujitoa Yanga

    Kwani Yanga imeanzishwa lini?
  8. eddy brown

    Usajili: Clatous Chama arejea Simba SC

    Hivi uliona wapi mtu Kesha pasi mtihani na kwenda chuo,halafu anaomba kurudi sekondari afanye tena mtihani.Mkolo peke yake.
  9. eddy brown

    Tanesco Msiwakate Wapangaji Kodi Ya Jengo...

    Tatizo liko wapi mdau,we siku ya kulipa kodi kama ni miezi sita unakata elfu sita.Mbona inaeleweka hio.
  10. eddy brown

    Neno "HAT TRICk" limetokana na nini?

    Nice try bro but not quiet.
  11. eddy brown

    Neno "HAT TRICk" limetokana na nini?

    Neno "HAT TRICK" nani anaweza kujaribu kuelezea limetokana na nini? Zawadi ipo kwa atakae jibu kwa usahihi.
  12. eddy brown

    Simba: Tumeiomba CAF tujaze mashabiki uwanjani kwa asilimia 100 mechi ya Platinum. Yasema nguvu ya Simba ni mashabiki wake

    Iweje kuhusu muda wamejibu wakasahau idadi ya watu kuingia? Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
  13. eddy brown

    Hivi kwa nini Mo hakuonekana kwenye harusi ya Manara?

    Hivi kuna kitu kimemsibu Mo na viongozi wa juu wa Simba kutohudhuria harusi ya Manara?kuhusu zawadi je?
  14. eddy brown

    Hivi tukisema Mo kamtuma Manara kuongea alicho ongea tutakosa?

    Ikumbukwe baada ya Hans Pop kuwashutumu baadhi ya wachezaji kucheza chini ya kiwango Mo alisema hakuna kiongozi yeyote atakae ruhusiwa kuingelea Simba bila kupata ruhusa yake. Je, yaliomo yamo,na hili limo Mohammed? Kama hajamtuma basi awajibishewe.
Back
Top Bottom