100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,188
- 36,395
Tanesco kitendo mnachofanya cha kukata kodi za majengo kupitia LUKU si kitendo cha uungwana, kuna watu wamepangwa na wanamlipa mwenye nyumba kodi ya pango, kwa nini hawa hawa wapangwaji tena walipe kodi ya jengo.
Unakuta nyumba ina madeni ya kodi kwa miaka, leo hii eti mpangwaji aje awe analipa, kwa maana hio analipa mara mbili, kodi ya jengo na kodi ya pango...
Tanesco piteni kwenye nyumba za wateja wenu Tanzania nzima, mfahamu wamiliki wa nyumba pia mtatue hili tatizo kwa kushirikisha wapangaji na wapangwaji, mtatue hili tatizo, mnawaumiza watu...
Na hii mmefanya makusudi, mlijua wazi kwa hili suala mtawaumiza wapangwaji lakini kwa sababu wa Tanzania mmetuzoea sisi ni nyumbu ni sawa... tukamuoeni tu...
Unakuta nyumba ina madeni ya kodi kwa miaka, leo hii eti mpangwaji aje awe analipa, kwa maana hio analipa mara mbili, kodi ya jengo na kodi ya pango...
Tanesco piteni kwenye nyumba za wateja wenu Tanzania nzima, mfahamu wamiliki wa nyumba pia mtatue hili tatizo kwa kushirikisha wapangaji na wapangwaji, mtatue hili tatizo, mnawaumiza watu...
Na hii mmefanya makusudi, mlijua wazi kwa hili suala mtawaumiza wapangwaji lakini kwa sababu wa Tanzania mmetuzoea sisi ni nyumbu ni sawa... tukamuoeni tu...