Recent content by Eddoseny

  1. Eddoseny

    Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

    usicheke sana....Tunarejesha
  2. Eddoseny

    Malawi refuses to release 8 suspected Tanzanian spies: Minister Chiumia says should face prosecution

    hiyo ni kwa mujibu wako na sio mujibu wa Magu.... Kwanza nani kaprove kama hao ni SPY? Tunapenda ushabiki sana usio na maana
  3. Eddoseny

    Malawi refuses to release 8 suspected Tanzanian spies: Minister Chiumia says should face prosecution

    Alisema wa madawa ya kulevya....Sasa hao kwani wamekamatwa na madawa ya kulevya? mbona mnaropoka ropoka tu...bavicha bana...
  4. Eddoseny

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    Upo sahihi kabisa, na hali hiyo inachingiwa na umaskini, wivu, chuki zisizo na msingi na mawazo hasi kwa mda wote...Hatutakiani mema hata siku moja, don't trust any one.
  5. Eddoseny

    Behind the curtain: September 11

    Napenda kujiunga hilo group la whtsap, nifanyeje?
  6. Eddoseny

    Mpemba aliyetajwa na rais ni nani?

    Sakata la meno ya tembo
  7. Eddoseny

    Abraham Lincolin

    Hii ungeiweka Kwa kiswahili ingekua vizuri sana, wengi wangejifunza kitu
  8. Eddoseny

    Rais Magufuli amuagiza Dr. Kimei kuwachukulia hatua maafisa wa CRDB waliofungua akaunti ya maafa

    Msiwage mnakurupuka katik akuandika, na msiandike tu kufurahisha genge, mbona mwamuwekea maneno mdomoni mh. Raisi? Yeye raisi katanguliza neno kwamba hao maafisa wa benki wachunguzwe na wakikutwa mawehusika kwenye njama za account fake ndio wachukuliwe hatua, na HAKUSEMA kwamba hao maofisa...
  9. Eddoseny

    Kufuatia tangazo la Serikali kuhamia Dodoma, natabiri haya..

    maisha yatapanda gharama kwa mji wa dodom
Back
Top Bottom