Recent content by Eddie Nas

  1. Eddie Nas

    Um an English teacher, looking for some jobs to teach Oral English for some training centers, I have

    What do u mean by being serious bro, iam so serious if anybody interested in please E-mail me but u have to be serious, iam not joking brother, but iam looking for some training center tht can employ me like Amana training center and some of big ones like British counsel in posta, I love the job...
  2. Eddie Nas

    Um an English teacher, looking for some jobs to teach Oral English for some training centers, I have

    Iam now living and working in HongKong but iam tired of living and working abroad nataka nirudi home nitulie any jobs please E-mail me, 739149478@qq.com
  3. Eddie Nas

    Naombeni ushahuri nina laki saba nifanye biashara gani, maisha kusaidiana jamani,

    Jamani tuwe serious Kidogo humu na sio tunafanya makuzi kutoa mawazo kwa wanaohitaji ushauri sio km tuchekane
  4. Eddie Nas

    Msaada jamani...Mwenye kuelewa jinsi ya.....

    Jaribu kuingia ktk settings angalia hakuna sehemu ya restore factory settings
  5. Eddie Nas

    Biashara kati ya Tanzania na China,

    Tatizo sometimes ni clients then watanzania tumeshakua na akili kuwa all Chinese products ni fake na hawaamini Chinese products lkn sio hivyo kwn mchina ni mfanya bznz mkubwa ulimwenguni huwa anatengeneza bidhaa kutokana na uwezo wa mteja kununua mchina ni mtu wa kutafuta soko ili auze bznz zake...
  6. Eddie Nas

    MSAADA: wa kujua bei za vifaa hivi

    Kwanini sio China dada? Tatizo watu tunaoishi bongo tunadanganyika kuwa kitu kikitoka china ni fake au low quality kumbe we r definitely wrong, china unapata bidhaa kutoka na pesa ulionayo, mchina anatengeneza kitu kuangalia uwezo wa pesa ya mtu, me ninaishi China dada ndio maana nakuambia...
  7. Eddie Nas

    Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

    Mzigo unatoka nchi gani? Nalo muhimu pia, me mwenyewe niko nje na nilikua na mpango wa business na Tanzania lkn sasa kaka ushaniogopesha.
  8. Eddie Nas

    Biashara kati ya Tanzania na China,

    Waungwana me ninaishi na kufanyakazi China, lakini bado nataka kujishughulisha na business huko bongo, hivi ni business gani inalipa huko? Tatizo sijajua kama kuna business gani naweza kufanya, kama nikifanya na ikiwa na mafanikio basi nitakua naleta hata mzigo mkubwa tatizo sina idea ya...
  9. Eddie Nas

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Jamani nataka kufuga kuku je kuna haja ya kusomea au inakuaje? Naombeni msaada wakubwa.
  10. Eddie Nas

    Chezea kingereza wewe...!!

    Loooh conductor kapagawa
  11. Eddie Nas

    Kwanini Kuongozana na Mkeo iwe noma!?

    Haya majanga sio kitoto.
  12. Eddie Nas

    Mtoto kidogo alete balaa

    Duuuuh
Back
Top Bottom