Kila kukicha Zito, Cdm tunaowabunge wengi ambao majukumu yao hayaeleweki ndani ya chama, wala kwenye M4C hawashiriki, mfano Mbunge wa Rombo, Mbunge wa Mpanda, Mbunge wa Mbozi, Mmbunge wa Karutu, Mbunge wa Ukerewe na jimbo jingine la mwanza mjini na wabunge wa vitu maalumu mfano dada yake ya Mh...