CCM: Kumpinga Mwenyekiti ni uhaini

CCM: Kumpinga Mwenyekiti ni uhaini

Naruida tena kusema, WANAMPINGA MWENYEKITI WAO MAGAMBA NA SIO RAIS, Haijalishi kama huyo MWENYEKIT NI RAIS PIA, Acha Ubweg.e

Ndio maana hapo awali kwenye moja ya post zangu nilitumia neno "busara" kwa kujua kabisa kuwa watu kama nyie mko.
 
Hawajampinga Rais, wamempinga Mwenyekiti wa Magamba

Hawa wanachama wa magamba wamepata wakati muafaka wa kumpiga chini huyu mkweree kwa kumpigia kura za maruhani; ama sivyo watakuwa na huyu kilaza kwa miaka mingine mitano ya machungu!!
 
Wale wote waliompinga Mwenyekiti wa Chadema walifukuzwa chama, nikutajie? Madiwani wa Arusha, Madiwani wa Mwanza...kabla kuandika fanya utafiti yupo wapi Chacha Wangwe, Zitto alifanyajwe?
 
Uhaini , treason, is not a romantic term, it is a legal term which has to be used legally, kumuondoa mwenyekiti wa chama, either SACCOS, cha Mpira, cha siasa, cha kufa na kuzikana haiwezi kuwa uhaini hata siku moja hata kama mwenyekiti wa chama ni raisI wa nchi. Katiba ya nchi haimtambui mwenyekiti wa chama chochote kile, kama kigezo au sifa za urais kikatiba, CCM wake up
 
Uhaini , treason, is not a romantic term, it is a legal term which has to be used legally, kumuondoa mwenyekiti wa chama, either SACCOS, cha Mpira, cha siasa, cha kufa na kuzikana haiwezi kuwa uhaini hata siku moja hata kama mwenyekiti wa chama ni raisI wa nchi. Katiba ya nchi haimtambui mwenyekiti wa chama chochote kile, kama kigezo au sifa za urais kikatiba, CCM wake up

Tungesikia kuwa wamechukua fomu za kuomba kugombea huo uenyekiti na kuzirudisha kabla ya kwenda dodoma tungewaelewa. Lakini kutumia vipeperushi ni uhani hata kama ungetumia kiarabu au kiyunani kuelezea maana ya neno uhaini kisheria.
 
Kuexpress opinion juu ya mwenendo wa chama sio uhaini, wala sio kosa kabisa hasa kama wanachama wenyewe wanaona kuwa mwenyekiti wao kazidiwa na majukumu ya kutafuta hela za barabara nje ya nchi , kama tulivyoambiwa na pombe magufuli
 
Wale wote waliompinga Mwenyekiti wa Chadema walifukuzwa chama, nikutajie? Madiwani wa Arusha, Madiwani wa Mwanza...kabla kuandika fanya utafiti yupo wapi Chacha Wangwe, Zitto alifanyajwe?

Mbowe aligombea mwenyewe tu na kupitishwa, Zitto alitaka kutia timu wenye chama wakaweka zengwe.
 
Wana Bodi,
Kila Mara nimekuwa nikijuliza hivi CCM suala la Demokrasia wanamhubiria nani ilhal wao wenyewe hata Maana ya hilo Neno hawaijui na wala hawajui kuishi katika hilo.
Kwenye maandalizi ya Uchaguzi wao wa Mwenyekiti kwanza sijasikia ni lini fomu za kuwania nafasi hiyo zilitangazwa kuanza kugawiwa, sijasikia hata sehemu inayomnukuu Mkwe.re kwenda kuchukua form hizo wala kujinadi na kuomba kupewa Nafasi hiyo
Mbaya zaid kuna vijana eti wameapa kumlinda JK kwa Gharama yeyote ili awe mwenyekiti.
Ni nini kutumia Nguvu Nyingi kumlinda mtu ambaye wanadhani anakubalika kwa madai yao??????

From Mwananchi



Important
Kwenye Uchaguzi wa CDM, Tukisikia Mwana CCM yeyote ana benua mdomo Kike Kike na kutia Neno Lolote, Naapa tuta Zaa NAE

Kama hakuna Demokrasia ndani ya Chama chao wataubili vipi Demokrasia katika nchi
 
hakuna jipya. dunini anayeogopwa ni Mungu anayetupa pumzi na kuichukua, siyo binadamu mwenzio kamwe

Yesu watu wenye mawazo kama wewe walipomfuata kupata ushauri kwake aliwaambia hivi ya kaizari mpe kaizari na ya Mungu umpe Mungu. Maana yake kaizari naye anamamlaka ya kibinadamu. Sasa kama unataka kuyapuuza haya mamlaka ya kibinadamu huo ni uamuzi wako hatuwezi kukuingilia.
 
Wana Bodi,
Kila Mara nimekuwa nikijuliza hivi CCM suala la Demokrasia wanamhubiria nani ilhal wao wenyewe hata Maana ya hilo Neno hawaijui na wala hawajui kuishi katika hilo.
Kwenye maandalizi ya Uchaguzi wao wa Mwenyekiti kwanza sijasikia ni lini fomu za kuwania nafasi hiyo zilitangazwa kuanza kugawiwa, sijasikia hata sehemu inayomnukuu Mkwe.re kwenda kuchukua form hizo wala kujinadi na kuomba kupewa Nafasi hiyo
Mbaya zaid kuna vijana eti wameapa kumlinda JK kwa Gharama yeyote ili awe mwenyekiti.
Ni nini kutumia Nguvu Nyingi kumlinda mtu ambaye wanadhani anakubalika kwa madai yao??????

From Mwananchi



Important
Kwenye Uchaguzi wa CDM, Tukisikia Mwana CCM yeyote ana benua mdomo Kike Kike na kutia Neno Lolote, Naapa tuta Zaa NAE

Sababu ya Hiki?
7240381_orig.jpg
 
Yesu watu wenye mawazo kama wewe walipomfuata kupata ushauri kwake aliwaambia hivi ya kaizari mpe kaizari na ya Mungu umpe Mungu. Maana yake kaizari naye anamamlaka ya kibinadamu. Sasa kama unataka kuyapuuza haya mamlaka ya kibinadamu huo ni uamuzi wako hatuwezi kukuingilia.

lazima utofautishe kupinga matokeo na kupinga mtu asigombee tena. mara ngapi wagombea wanapigwa mahakamani? uhaini unatambulika tu pale unapopinga matokeo ambayo kikatiba hayapingwi au kujitangazia matokeo ya uraisi wakati wewe siyo tume ya uchaguzi, hapo utakuwa umefanya uhaini , otherwise kupimpnga mgombe siyo uhaini kajipange upya unapoleta hoja.
 
chama gani ambacho nafasi ya uenyekiti hugombaniwa kidemokrasia?? Kitaje!!

Zito alijaribu alitumia haki yake kikatatiba kugombea uenyekiti yaliyomkuta anajua mwenyewe, vyama vyetu hapa Tanzania hakuna demokrasia katika chaguzi za uongozi. Tazama hata mgogoro ya Kafulila na Mbatia, kafulila alipinga hoja za mwenyekiti matokeo yake sasa ni mbunge kupitia mahakama!
 
lazima utofautishe kupinga matokeo na kupinga mtu asigombee tena. mara ngapi wagombea wanapigwa mahakamani? uhaini unatambulika tu pale unapopinga matokeo ambayo kikatiba hayapingwi au kujitangazia matokeo ya uraisi wakati wewe siyo tume ya uchaguzi, hapo utakuwa umefanya uhaini , otherwise kupimpnga mgombe siyo uhaini kajipange upya unapoleta hoja.

Cha kuzingatia hapo huyo mgombea ana cheo gani wakati unampinga. Kama ni rais wa nchi ya tz theoretically unaweza kuwa sawa but practically wrong. Unaweza kujikuta katika wakati mgumu sana, ndio maana hata hao mnaowaita vidume hawa kudhubutu kuchukua fomu kumpinga zaidi ya kujificha nyuma ya vipeperushi.
 
Cha kuzingatia hapo huyo mgombea ana cheo gani wakati unampinga. Kama ni rais wa nchi ya tz theoretically unaweza kuwa sawa bkut practically wrong. Unaweza kujikuta katika wakati mgumu sana, ndio maana hata hao mnaowaita vidume hawa kudhubutu kuchukua fomu kumpinga zaidi ya kujificha nyuma ya vipeperushi.

kuna kitu najitahidi kujifunza kupitia maoni yako , ila nahisi haujatumwa sema unaonekana ungekuwa wa kike wangekusuta zamani Sana. Vaa akili zako ndugu acha utumwa utaishi kwa raha sana .
 
Back
Top Bottom