Recent content by Eclaire

  1. E

    Asante Ole Sabaya na Cyprian Musiba, bila ninyi kusema ukweli wenu, tusingejua yanakotoka maagizo kutoka juu

    Lile tukio la 17/03/2021 lisingetokea, haya yote na mengine yangeendelea.
  2. E

    Mke wangu kanikimbia

    Ishi nae kama mpangaji wako mpaka atakapokua kiakili.
  3. E

    Hata kama ungekua wewe ni Sabaya lazima ungejitetea alivyojitetea leo

    Moja ya kazi aliyotumwa Sabaya ni kuimaliza Chadema Hai na kihakikisha Mbowe harudi bungeni.
  4. E

    Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Profesa Anna Tibaijuka kiasi cha Tzs milioni 80

    Atapata pressure na kisukari kwa msongo wa mawazo lakini pesa hataweza kuzitoa hata akijiuza yeye mwenyewe.
  5. E

    Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

    Mkono mtupu haulambwi
  6. E

    IGP Sirro: Jeshi la Polisi limepewa ajira mpya zaidi ya 3,200

    Wale ni second class TRA officers.
  7. E

    IGP Sirro: Jeshi la Polisi limepewa ajira mpya zaidi ya 3,200

    Nguvu ya dola kuzuia katiba mpya inaongezwa.
  8. E

    Nukuu ya Mzee Abdulhaman Kinana kwenye hafla ya kumkabidhi ofisi ya Ukatibu Mkuu mrithi wake Dkt Bashiru Ally Kakurwa

    Wakati huo huo watoto wetu wanajengewa matundu ya vyoo kwa msaada wa USAID.
  9. E

    Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?

    https://assets.publishing.service.gov.uk/government/uploads/system/uploads/attachment_data/file/996333/PHE_COVID-19_what_to_expect_after_your_vaccination_version_5.pdf
  10. E

    Ufisadi ndani ya CCM: Nani anahusika na ufisadi huu mpya?

    Hizi ndiyo sababu za kukataa katiba mpya wawndelee kupopocha kodi za wanyonge.
  11. E

    Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

    😂😂😂😂😂
  12. E

    Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

    Sindano zote sikuhizi ni disposable
Back
Top Bottom