Waziri mkuu mstaafa Mh. Joseph Sinde Warioba aliwahi kusema namnukuu "uchaguzi wa 29 Oct. 2025 tume ya uchaguzi ya Samia ndiyo iliyopiga kura na siyo wananchi wa Tanganyika" mwisho wa kunukuu.
Wametangaza kwa kutumia speaker kama zile zinazotumika mostly misikitini mkuu. Ikitokea baadae nikaliona la maandashi nitalitupia humu bila shaka yoyote!
Shame on them. Yaani kesho wananchi wote wamezuiwa kufanya shughuli zao halali za kuwaingizia kipato eti kwa sababu ya mpumbavu mmoja anaitwa Rizmoko. Ccm ni wapumbavu sana mkuu!
Leo tar. 09.07.2026 majira ya saa 3 asubuhi, kata ya Ilolangulu wilaya ya Uyui mkoa wa Tabora kuna tangazo limetangazwa likawataka wakazi wote pamoja na vitongoji vyake kesho asubuhi majira ya saa 4 waache shughuli zao zote waende kumlaki Ridhiwan Kikwete eti kwa sababu atakuwa anazindua shule...
Aisee kichwani mwako utakuwa umejaza kamasi nyingi sanaT
Toa kamasi kichwani kima wewe. Hivi mpumbavu kama wewe unaweza uka-argue na Jaji Joseph Sinde Warioba? Unataka kushindana na ukuta? Ccm ipo madarakani kwa msaada wa vyombo vya dola....period!
Management ya Jf, please piga ban hii mbwa. Hawa mbwa ndiyo waliosababisha hadi Jf ikafungiwa for damn 90 days and above. Na isitoshe hawa mbwa ndio walewale waliomwaga damu za watanganyika wenzetu wasio kuwa hata na hatia aisee. Tutoleeni hili punga humu ndani guys, please!
Wewe unadhani bunge la Kenya ni kama hivyo vikao vyenu vya ccm mnavyofanyia kwenye jengo la bunge na kulipana kodi zetu tu kisengekisenge? Kwanza huna akili wewe kima, huna credibility ya kujenga hoja na mimi, pumbavu!
Mshauri sasa na huyo mama yako muuaji aende akahutubie bunge la Kenya kama atatoboa. Wewe kazi yako ni kula mavi ya Samuya tu na kichwani umejaza kamasi tu, Kenge wewe!
Aisee kifo chako kinakaribia kwa kasi sana. Naona umeamua kumwabudu shetani badala ya Mwenyezi Mungu. Hivi unajua hata shetani anamuogopa Mungu kuliko kitu chochote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.