Recent content by ECE DEGREE HOLDER

  1. E

    Mayai, mayai ,mayai yanauzwa

    Kwa anae hitaji piga simu namba 0682261118
  2. E

    Mayai, mayai ,mayai yanauzwa

    Ni Mayai ya kienyeji kabisa na yenye ubora Wa hali ya juu ,njoo ujipatie au weka order yako bei ni tsh. 500 kwa kila yai moja ,ukihitaji utaletewa mpaka mlangoni ,, TUNAPO SEMA NI MAYAI YA KIENYEJI TUNA MAANISHA HASWAA!
  3. E

    Natafuta mabelo ya nguo na viatu vya mtumba

    Yani mpaka Leo hii hakuna aliejibu duuuh
  4. E

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Hallow! Vipi kuhusu bei zao ,nilihitaji balo la viatu mtumba
  5. E

    Balo la viatu vya mitumba tsh. Ngapi kwa dar es salaaam

    Kichwa cha habari cha jieleza ,nahitaji viatu vya mtumba balo kama mbili hivi ,naomba kujua bei ama kwa anaeuza kwa Dar tuwasiliane
  6. E

    Tumeunda kikundi cha biashara lakini watu wengine hawatoi support

    Ni ngumu kufanikisha kama mnatoka location tofauti ,, labda kama wote mpo eneo moja yaani wewe upo DAR mwingine kigoma afu unataka muunde kikundi au mkutane kwa kikao itawezekanaje!
  7. E

    Fursa wahanga wa ajira

    Dr. Sui Wa wapi na ni kama nani mkuu maana kuna wengine hatumjui
  8. E

    Fursa wahanga wa ajira

    Link inagoma man
  9. E

    Bungeni Dodoma: Joseph Selasini(MP) aibua upotevu wa Tzs trilioni 1.88

    Nchi hii inapesa kuliko unavyo fikiria! Shuggulisha bongo ,kama huishi Tanzania nyamaza sio kuropoka tuu nchi hii inautajiri mkubwa sana na pesa nyingi sana zinapotea kwa ujinga Wa matumizi hewa!
  10. E

    Bungeni Dodoma: Joseph Selasini(MP) aibua upotevu wa Tzs trilioni 1.88

    Tatizo lako kubwa sana ni kada Wa ccm ,haijalishi utakataa au kukubali huu ndo ukweli ,SMS yako hii inaonesha wazi yani wewe hata magu amchinje jirani yako au mwanao still utakuja na vipoint dhaifu kumtetea? Kwamba wewe unaakili sana kuliko watu Wa mjengoni OK inawezekana ila si kwamba wanaotoa...
  11. E

    Natafuta mwalimu wa A level masomo kiswahili na english

    You can't be serious ,elfu kumi per topic?
Back
Top Bottom