Dah nna mikasa kadhaa ya dizaini hii, sasa sijui nisimulie ipi.
Nisimulie rafiki wa mdogoangu wa kike aliekuja kumwona mdogoangu mgonjwa, huyu nlimla kwa kumlaza kwenye simenti wazazi wakiwa sebuleni.
Au nisimulie ya mtoto wa jiran niliemla kiutani akaniongezea list kwenye faili la niliowakuta...
Huyo boy wako hatupishani na mimi, mi ni mchafu pengine hata kumzidi na niko hivyo lakini nina wadada watatu wote wanapigana vikumbo wakitaka niishi nao. Kipindi niko ghetto choo kiko mbali nlikuwa na tabia nanunua mapombe nanywea ghetto nakojoa kwenye chupa za maji naweka uvunguni kipindi hiko...
Hiyo ni alama ya kuonesha usetivu wa taa kubwa (headlights) kuwa zimulike chini au mbele kutokana na ulivyoseti, sasa hiyo taa kuwaka kwenye dashboard sijui kunamaanisha nini. Na kwakuwa imewaka kwa unjano basi litakuwa ni onyo, muone fundi wa umeme wa magari.
Hicho kwangu ndo kisetizi yan cha...
Napenda sana porn ya staili hiyo so nachagua namba 5 ili niendelee kuinjoi...just kidding.
Kiukweli nachagua namba 9, hawaniui na hawanifanyi chochote sababu huwa sitembeagi na wake za watu.
Kwaiyo uwezo wa forester cross sport ni uleule wa forester STI?
Maana haya matoleo matatu yananchanganya na sielewi ipi konki kati ya forester XT, forester cross sport na forester STI japo kwa bei hizo STI ziko juu sana kuliko hizo nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.