Pepo au kwenda Mbingiui kwa Magufuli funguo anazo Tundu Lissu , familia yake magufuli wasipomwomba msamaha Tundu Lissu,.Basi Tundu Lissu akiaga duniam kwa matakwa ya mungu mwenyewe atamkuta Mh Magufuli tohorani anang`ang`a macho
Nafasi ya kwenda peponi yaani kwenda mbinguni muumini mwenzetu Mh sana Yohani Magufuli ameishika muumini mwenzie wa kanisa katoliki Mukatukumeni Tundu Lissu, Nduguze Magufuli wamwone TUNDU LISU kwa njia ya kitubio amsamehe Magufuli kwa yale aliyomtendea akiwa duniani.
Vinginevyo bila Tundu...
wewe mleta mada ni pumbafu pumbafu la mapumbafu, huyo mtu wenu si alikufa kwa ujinga huo na ugonjwa huo akaponza hadi na wenzie wakafa, wale waapishaji walikufa wote kuanzai I kijazi
Science huwa haipingwi bali hufuatwa ukipingana na science utaumia tu.Science siyo kama imani za dini bali ni...
Kama makolo mmefanikiwa kumsajili kocha huyo hapo juu basi mtakuwa mmetisha, ngoja tusubiri hiyo saa moja tusikie hiyo habali kuu. Pitso Masomane ni kocha wa hadhi ya juu kabisa hapa Africa na atapaisha sana hadhi ya Simba SC
Hivi watu wengine kama matumbo yanuma kwenda tu kuharisha hua mnaona ugumu gani? Kuliko kuharisha humu kwenye jamii forum asubuhi subuhi?
Huyo Makonda wa kwenye awamu ya vyeti feki wa nini sasa? Ana nini cha mno? Ana jipya gani?
Kwenye huu utawala wa democracy and rule of law Makonda wa nini...
Umekuwa mstali wa mbele ukimpigia chapuo kijana Mkemwa ambaye ni wakwenu huko jimboni Kibakwe ili eti awe Mbunge wa Mpwapwa kwa sababu huyu aliyopo ameshindwa kabisa ku-crick. Huoni kamaa hututendei haki na unatuingiza chakaa kwa makusudi kabisa?
Pili huoni kama waziri unapen yeza agenda zako...
Ninaanze na:
SIASA ZA UJAMAA NA KUJITEGEMEA;
Kwa kifupi siasa hizi za ujamaa ndo nchi ilianza nazo,siasa zilisema njia kuu za uchumi ziwe mikononi mwa umma, biashara zilifanywe na serikali mfano usafirishaji KAUDO ,KAUMA, SHIRECU ,TACOSHIL na ATC etc, mashirika ya biashara mfano National...
Ndugu zake wengi wako wilaya ya Mpwapwa maeneo ya kijiji cha Bumila pia wako kitongoji cha Ng`ambo mjini Mpwapwa.
Amefanana kabisa na Mkunda yule aliyekuwa amemuoa Dr. Mkunda yule alikuwa daktari wa meno hospitali ya wilaya Mpwapwa na Dodoma (wote wawili ni marehemu kwa sasa).
CDF huyu ni...
Kitabu cha Mh. TUNDU lISSU kimezinduliwa huko Kenya . watu maarufu waliokuwepo katika uzinduzi huo ni pamoja na Msalia Mdavadi mwanasiasa marufu huko Kenya tafauti na vitabu vya watu wengine mashuhuri waliozindua vitabu vyao cha Tundu Lissu kimetia fora kwa sababu softcopy pekee zilizoisha...
Huyu ni beki wa AS VITA eti kasajiliwa na Yanga.
Shida kuu kwa timu ya yanga sasa hivi ni safu ya ushambuliaji ndiyo ipo butu, anatakiwa kusajiliwa straiker mwenye uwezo wa kupiga miguu yote na vichwa na pia mwenye uwezo wa kupiga faulo (freekick) na kufunga,Sarpong hana kabisa uwezo huo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.