Recent content by EB Kavula

  1. EB Kavula

    Masterbration inanitesa sana

    Fanya mazoezi,epuka kukaa peke yako mda mwingi
  2. EB Kavula

    CHADEMA, Maalim na ACT Wazalendo kuweni makini kuliko umakini wenyewe

    Yeriko Nyerere sema tu kuwa wew na Chadema mnaumia kwa kumkosa Marim Seif,Mulitaka mjipoze kwa kukimbiwa na Lowasa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. EB Kavula

    King Tutankhamun; Roho ya Farao (Mummy) iliyowamaliza watu kwa laana yake kali.

    Hapa ndipo napo amini kuwa Jamiii Forum ni jamvii la kupata Elimu, barikiwa sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. EB Kavula

    Kagame ana mgogoro na mseven alikuja kufanya nini kwa magufur

    Kwani Kagame ni Rais wa Afrika Mashariki ah? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. EB Kavula

    Ushauri wakuu Nimepewa check ya billion 3 naenda kula Bata na mabinti wa India

    Mkuu hiyo pesa sio salama,ni pesa chafu yaani kwa ufupi ni pesa ya shetani, kwann aliyekupa hiyo cheki bado amekukonturo kwenda kula bata?kama umepewa kihalali kwann usiifanyie kazi zingn?mi nashani una ndugu zako wengi tu wanahitaji msaada, Sent using Jamii Forums mobile app
  6. EB Kavula

    Edward Lowassa: Nimerudi nyumbani (CCM), msiniulize nimerudi kufanya nini, nimerudi nyumbani - Machi 9, 2019

    Bora ameludi zake Ccm,uamzi wake huo utamfanya aishi kwa amani na furaha,harafu umri wake umeenda hawezi tena mikiki mkiki ya upinzani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. EB Kavula

    Kwanini mwalimu aliyemchapa mtoto hadi kufa amehukumiwa kunyongwa?

    Kwani kesi ya kuua hukumu yake ikoje Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom