Recent content by Easymutant

  1. Easymutant

    Nilifanya ujinga kumsomesha mdogo wangu wa kike

    Achukue tu hayo maamuzi magumu hujajua tu uchungu wa kaka and i support him 100%
  2. Easymutant

    Shirika la Posta Tanzania na ubabaishaji katika biashara za Kimataifa

    Wanakera sana hususani Arusha post office kuna mdada anaitwa Ruth ana majibu ya kijinga sana na kwa nyodo as if unaomba msaada! Mzigo unautrack kuanzia ulikotoka fresh kabisa ukifika bongo ndio mwisho wa kutrack na ukiwauliza aanasema mzigo hauonekani kwenye system hovyo sana hawa jamaa!
  3. Easymutant

    Ushauri: Nilipita mpakani bila kugongewa Muhuri wa kuingia wakati nikirudi Tanzania

    Chonga muhuri jingongee trust me it works in Africa
  4. Easymutant

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Unataka kuacha pombe halafu utatubu dhambi gani sasa??
  5. Easymutant

    Anayepata 4G ya TTCL anyoshe kidole

    Nyumbani kumeingia mdudu
  6. Easymutant

    Nimeona ...wa mke wa mtu ikawa shida, Je nimekosea?

    Chai isiyo nasukari .. watu wa Chato sijui mna shida gani yani
Back
Top Bottom