Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Hii ndio nyumba inayodaiwa alifichwa mfanyabiashara Mohammed Dewji 'Mo' baada ya kutekwa katika hoteli ya Colosseum Oktoba 11 na kuachiwa Oktoba 20.
Nyumba hiyo ipo mtaa wa Mwansasu, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Powered by #MagomeniIceCreamCentre
Nyumba hiyo ipo mtaa wa Mwansasu, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Powered by #MagomeniIceCreamCentre