Hii imekaaje!
Nafuga kuku wa kienyeji, nyumba iko ndani ya fensi, lakini kuku wangu wote majike kwa majogoo wameshazoea kusakula sakula hadi nje kwa kuruka ukuta asubuhi na jioni hurudi kwa style hiyo hiyo hadi bandani!
Nina kuku 9 wakiwemo jogoo watatu!
Nimeshangaa sana niliposafili (nyumbani ikawa haina mtu kwa siku tatu tu) Nimerudi Nakuta majogoo wote watatu wamehama wanalala kwa jilani, Wale majike hawakuhama wapo wote!
Nimewaza kwanini wamehama? wakati maji yapo, na chakula wanajitaftia kwa kusakula sakula wao wenyewe kila Sikh?
Sasa nafikilia hawa jogoo niwachinje tu wasije nitia hasara!!
Nafuga kuku wa kienyeji, nyumba iko ndani ya fensi, lakini kuku wangu wote majike kwa majogoo wameshazoea kusakula sakula hadi nje kwa kuruka ukuta asubuhi na jioni hurudi kwa style hiyo hiyo hadi bandani!
Nina kuku 9 wakiwemo jogoo watatu!
Nimeshangaa sana niliposafili (nyumbani ikawa haina mtu kwa siku tatu tu) Nimerudi Nakuta majogoo wote watatu wamehama wanalala kwa jilani, Wale majike hawakuhama wapo wote!
Nimewaza kwanini wamehama? wakati maji yapo, na chakula wanajitaftia kwa kusakula sakula wao wenyewe kila Sikh?
Sasa nafikilia hawa jogoo niwachinje tu wasije nitia hasara!!