Wadau, natafuta range rover sport ya kukodisha kwenye harusi siku ya jumapili tarehe 14/12. Gari itapambiwa school of law karibu na kituo kipya cha daladala cha ubungo then itaenda kumchukua bibi harusi Sinza Africa sana then itaenda kanisani Magomeni Mwembechai then itaenda EPZA Ubungo external...
Poleni na majukumu wadau, nimepewa jukumu la kutafuta gari kwa ajili ya kubebea maharusi, liwe jeusi. Mwenye nayo anipm na anitumie picha ya gari husika pamoja na bei anayokodishia.
Shukrani
Poleni na majukumu wakuu...natafuta toyota wish ya kununua...yenye namba ya C za mwisho mwisho.......alionayo anipm please..anitumie picha na price....shukrani..bajeti milioni 8
Wadau mambo vp ......wapi ninaweza kupata milango ya kichina ya nyumba kwa hapa dar....? Na inauzwa shs ngap ?....main door ni shs ngapi ? Na ya vyumbani ni shs ngap ? Shukrani wakuu
nashukuru sana kk singo..mm ni mmoja wa mtu ulyenisaidia kupata bussiness name tena kwa gharama nafuu.. sikujua nianzie wapi lakini nashukuru pia hukuwa na tamaa ya pesa kwa kunipa uwazi ya njia zote na jinsi ya kufuatilia mm mwenyewe kama nitaweza.,nilikuamini na kukupatia kiasi icho kidogo cha...
Wadau poleni na majukumu...
Nimejaribu kufanya utafiti ili niweze kujua ubora wa haya magari mawili,,,
Ninaomba ambao wanayamiliki au wenye upeo nao wanisaidie nifanye uchaguzi sahihi....
Ninunue kati ya Range Rover Sport au Land Cruiser VX?
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.