itategemea na ubora wa engine mda ulionunua. Kama limeshatembea sana na limefanyiwa service sana definitely ulaji wake utakuwa kiasi kidogo ineficient. But still its economical car. You may get up to 15km per litre at its worst
Mm ninayo cc 998 imeingia bongo 31 july wastani ni 13 - 15 km/litre (full kipupwe) na pia hapo kitambo nilikua na ingine 1300cc ilikua na wastani wa 9-10 km/l ila hii ilikua imetumika bongo kwa zaidi ya 2yrs.
Kwa ujumla naridhika nayo japo uzoefu wangu si mkubwa kivile kwani hili ni gari la 3 kuwa nalo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.