Recent content by Dynamics

  1. D

    Kiwanja kinauzwa: kiluvya

    Details hazitoshi. Weka picha tuone huo msingi
  2. D

    Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

    Hiyo ni hospitali au kituo kinapatikana wapi?
  3. D

    Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

    Anahitaji kuonana na daktari bingwa, kwanini unataka arudi tena hospitali za kawaida mkuu?
  4. D

    Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

    Kipindi cha nyuma amewahi kwenda hospitali na kuelezwa kuwa na hiyo hali baada ya siku zake za hedhi kuvurugika , lakini hilo tatizo halijawahi kufuatiliwa kwa undani kwa maana ya kuonana na wataalamu husika pamoja na vipimo
  5. D

    Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

    Uhitaji wa Gynaecologist mzuri anayeweza kumsaidia mtu mwenye changamoto ya hormonal imbalance, kuanzia kwenye kumsikiliza vizuri mgonjwa na kujua shida yake haswa, vipimo mpaka kutafsiri majibu na kutoa matibabu sahihi.
  6. D

    Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

    Habari ya asubuhi wadau. Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru...
  7. D

    Kitanda na rangi za chumba nilichoandaliwa ukweni kimenisononesha sana

    Kaskazini mwanaume ni mwiko kulala ukweni. Mbwiga wewe.
  8. D

    Kitanda na rangi za chumba nilichoandaliwa ukweni kimenisononesha sana

    Nyumba siyo ya kwako ni ya kwao, au nyumba ni yako hiyo? Kuijenga wewe haimaanishi una mamlaka nayo. Mwanaume wa ajabu Sana wewe
  9. D

    Kitanda na rangi za chumba nilichoandaliwa ukweni kimenisononesha sana

    Kwa hiyo chumba kilipakwa rangi ya zambarau kwa ajili yako tu? Hayo mashuka yamenunuliwa kwa ajili yako tu? Na hicho kitanda ni maalum kwa ajili yako tu kukilalia? Nikisema una changamoto ya afya ya akili nitakuwa nimekukosea?
  10. D

    INAUZWA Mlandizi : Kiwanja Cha Ukubwa wa Hekari 2 na Nyumba ya Wafanyakazi inauzwa

    Bei ya kutupa... Mwenyenzi Mungu akufanyie wepesi ndugu yangu
Back
Top Bottom