kijana,
hatuoi tako wala sura. Sifa ya kwanza ya mke je ni ana hofu ya Mungu? ana huruma na wewe? akishakuwa na hivyo viwili then unaweza angalia hayo mengine ya maumbile.
Achana na single mother ingali wewe huna mtoto/hukuwahi kuoa.
Kuna standard ya wanawake ulishajiwekea akilini mwako, na ndio hao wanakutesa.
Wake zetu tunapishana nao barabarani lakini hatuwazingatii.
Njia rahisi kabisa ambayo inaweza kukusaidia, kama una dada au ndugu wa kike unayependa tabia zake basi fanya naye urafiki uwe unamtoa out kwa sharti aje na...
Hapo kuna mawili,
1. anakutest kama alishafikia mpaka hatua ya kukuoa
2. Anakupa silent treatment ili ujiongeze mwenyewe maana hataki kukwambia hakutaki.
Hii ya silent treatment inaumiza vibaya na nikupe tu pole maana ulishazama.
Nikushauri tu, jijali zaidi jitoe out.. vaa pendeza, kula vyakula...
Wanachama wa ccm wanajua wapige kura ama wasipige watashinda, wanachama wa upinzani wanajua hata wakipiga kura kuwachagua viongozi wao wa upinzani hawawezi kutangazwa kushinda. Sasa nani ataenda kupiga kura? Yani kwa nini ukapige kura wakati matokeo unayajua yatakuaje... Ni kupoteza muda tu
habari wanaJF!
Kuna tatizo hili inawezekana linakutokea au limemtokea mtu wa karibu yako. Unakuta mtu akila tu nyama au baadhi ya samaki basi anatokwa na damu puani,je tatizo hili linasababishwa na nini hasa?
Ahsanten!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.