Kuna tatizo hili inawezekana linakutokea au limemtokea mtu wa karibu yako. Unakuta mtu akila tu nyama au baadhi ya samaki basi anatokwa na damu puani,je tatizo hili linasababishwa na nini hasa?
Mkuu.@dxdiag Nenda ..Hospitali kamuone Daktari ili akupime ili apate kujuwa una Maradhi gani? Isije kuwa una allergy ya vyakula vya aina fulani fulani.Ukila baadhi ya vyakula vinakudhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.