Recent content by duve

  1. D

    Single mothers msife moyo, hakuna chenye thamani zaidi ya mtoto wako

    Being a single parent sio kitu ambacho mtu anaplan , hakuna mwanamke ambaye anabeba mimba kwa lengo La kuja kulea mtoto peke yake. Zipo sababu tofauti kwa kila mzazi anayelea mtoto peke yake mfano, mwenza amefariki, domestic violence, mapenzi yamekwisha hakuna maelewano kati hao wenzi n.k Hivyo...
  2. D

    Kama wanawake wanajiremba kwa ajili yetu wanaume kwanini mnatukataa tukiwatongoza?

    Kila mwanamke anavyo vigezo vyake when it comes to a choice of a man, hivyo sio kila utakayemtongoza ww atakukubali tu ,no.
  3. D

    Mwanamke kuamua kumbebea mimba mwanaume je ni kwa sababu ...

    Yote yaweza kuwa majibu kulingana na malengo ya mtu.Na ww mwanaume unapofanya mapenzi na mwanamke asiye mkeo bila kinga wategemea nini
  4. D

    Happy birthday Mange Kimambi

    Happy birthday kubwa LA maadui
  5. D

    Mahusiano vs mawasiliano

    Hakuna mapenzi hapo, stuka
  6. D

    Weekend Story! DESPERATE!

    Pastor hafai
  7. D

    Mama: Mwanangu ukioa usimuoe mwanamke wa namna hii!!

    Kikubwa ni Upendo na kuelewana, hayo sijui same career, kipato, kabila nk hayana maana true love inapokuwepo .
  8. D

    Komando kitambi umeuthibitishia umma obesity haiathiri performance

    Kitambi sio kizuri Kwa afya, acheni kupeana moyo
  9. D

    Unawezaje kuvumilia hii?

    Sidhani kama kuna mwanamke anapenda kuongezewa mwenzake hata kama hawataishi nyumba moja,ni ngumu sana,,
  10. D

    Anti Bilali: Huu Ushoga wangu nilirogwa, mwenye dawa anisaidie

    Mmmh mtu kurogwa kuwa shoga makubwa , kikubwa amrudie mungu wake
  11. D

    Vanessa Mdee alistahili tuzo ya mwanamziki bora wa kike

    Huwezi mfananisha Jide na Vanessa, j ide no nyingine hata huyo cash madame mwenyewe analijua hilo
Back
Top Bottom