Mm naonea watoto huruma! Lkn kuachana pia ni jambo la msingi! Mbona wanawake wazuri wapo na watakutunzia watoto vizuri tu! Ana mambo mabaya yote, mtu mwenyewe hafanyi kazi analeta dharau! Wapo wanawake kibao wanatafuta mume wa mf wako na wanalia kila siku yy hawazi hilo? Tena usije ukalikoroga...
U sound like my man, tume break last two weeks, naona kama ndo upweke ameamua kutafuta wa kumliwaza!!
Loh, nasikia wivu nusu nimpigie simu!
NAMI MPWEKE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.