Sio kwa mwanaume asiekua mumewe tu hata mumewe cha msingi ajue kuoga janaba haswa mama
Hakuna kitu kama hicho jamani
Mm nime experience kwa mwanangu mwenyewe, nilikuwa naenda kugonga nje narudi namshika mwanangu lakina mpaka leo hii nazungumza ana miaka miwili afya njema anaongea kama wa miaka mitatu.
Sio kwa mwanaume asiekua mumewe tu hata mumewe cha msingi ajue kuoga janaba haswa mama
Sio kwa mwanaume asiekua mumewe tu hata mumewe cha msingi ajue kuoga janaba haswa mama
We ni jasiri sana dah
kuoga janaba ndo kwa aina gani huku?
mi nna watoto nne haijawahi kuntokea
We n mwislamu???
Hakuna kitu kama hicho jamani
Mm nime experience kwa mwanangu mwenyewe, nilikuwa naenda kugonga nje narudi namshika mwanangu lakina mpaka leo hii nazungumza ana miaka miwili afya njema anaongea kama wa miaka mitatu.
We n mwislamu???
Taifa linahitaji watu kama hawa
mi mkiristu
Hata hili pia linahitaji udini?:confused2: